Yaondolewe tu.!Magazeti ya Shigongo sijui kama yatapona!
Yaondolewe tu.!Magazeti ya Shigongo sijui kama yatapona!
hahahah ila kweli , mzunguko wa nini jamani?Kuhangaika kote huko wekeni tu wazi kwamba magazeti yafuatayo yamefutwa
Sheria ya uhuru wa habari inaweza ikawa imekiukwa hapa kama ni lazima kupata habari kutoka pande mbili.
Ninaamini kufanya hivyo kama inawezekana, yani kupata info toka pande mbili, basi hiyo ni fair journalism, lakini sioni ni kivipi iwe ni sheria kufanya hivyo. Pengine wanaweza kuhitajika kubadili sheria kabla hawajashinikiza hilo.
Maana kuna habari ambazo ninatokana na whistle blowing. Kuzizuia ni kuminya uhuru wa habari.
Ngoja tusubiri maoni ya wanasheria kuhusu hili.
Wanafuata sheria ya habari iliyopitishwa bungeni kupitia kwa Nape Je Wakati huo bombadiyeeee ilikuwepo?
Ulitaka ajue nani zaidi yake?Kuna magazeti yanatafutwa hapa. Hii nchi kwa sasa ni mungu tu anajua.
Wanafuata sheria iliyopitishwa bungeni tundu hauhusiki.Watabadilisha hadi katiba kwa ajili ya tundu
Biashara huku unachafua wengine?Tanzania Daima, Rai, Mwana halisi na wengineo kazi mnayo fungueni Blog. Maana naona biashara ya magazeti ndio wanaiua moja kwa moja apo. Nchi yetu inazidi kuua biashara za watu
Kudhani ni haki yako kikatiba...nadhani litakuwepo sharti la chombo cha habari lzm waandike habari za viongozi hata wa wilaya ,kumlinda Makonda
Gazeti halijawahi kusajiliwa bure.pesa inatafutwa kwa nguvu, manake hakuna usajili wa bure, sasa tunasubiri na pesa soon mtaleta mpya vile vile
Kuchinja sio kuchinja tu mkuu, lazima shingo ielekee Makha ama sivyo unakula kibudu.Kuhangaika kote huko wekeni tu wazi kwamba magazeti yafuatayo yamefutwa