benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
“Serikali imesharudisha takribani TZS bilioni 9 kwa wafanyabiashara waliokuwa wamewekeza kwenye Bureau de Change [maduka ya kubadili fedha] ambazo zilikuwa zimekamatwa katika oparesheni iliyofanyika, na baada ya kujiridhisha na kukuta wamefuata na kuzingatia vigezo, wamerudishiwa fedha zao ili waendelee kufanya mambo yao.” – Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa
View: https://www.instagram.com/p/CwaEGr6KTTp/
View: https://www.instagram.com/p/CwaEGr6KTTp/