Msemaji Mkuu wa Serikali: Tumerudisha Bilioni 9 za Bureau De Change

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
“Serikali imesharudisha takribani TZS bilioni 9 kwa wafanyabiashara waliokuwa wamewekeza kwenye Bureau de Change [maduka ya kubadili fedha] ambazo zilikuwa zimekamatwa katika oparesheni iliyofanyika, na baada ya kujiridhisha na kukuta wamefuata na kuzingatia vigezo, wamerudishiwa fedha zao ili waendelee kufanya mambo yao.” – Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa


View: https://www.instagram.com/p/CwaEGr6KTTp/
 
“Serikali imesharudisha takribani TZS bilioni 9 kwa wafanyabiashara waliokuwa wamewekeza kwenye Bureau de Change [maduka ya kubadili fedha] ambazo zilikuwa zimekamatwa katika oparesheni iliyofanyika, na baada ya kujiridhisha na kukuta wamefuata na kuzingatia vigezo, wamerudishiwa fedha zao ili waendelee kufanya mambo yao.” – Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa


View: https://www.instagram.com/p/CwaEGr6KTTp/

Mh 🤔 means ilikua ni uporaji au wivu wa kimaendeleo?
 
“Serikali imesharudisha takribani TZS bilioni 9 kwa wafanyabiashara waliokuwa wamewekeza kwenye Bureau de Change [maduka ya kubadili fedha] ambazo zilikuwa zimekamatwa katika oparesheni iliyofanyika, na baada ya kujiridhisha na kukuta wamefuata na kuzingatia vigezo, wamerudishiwa fedha zao ili waendelee kufanya mambo yao.” – Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa


View: https://www.instagram.com/p/CwaEGr6KTTp/

Atoe uthibitisho vinginevyo ni porojo kama nyingine
 
Hapo ukute hela wamejichotea tu na kusingizia wamerudisha kwa walio pokonywa, Namama yetu alivyo kuwa kilaza basi ni taabu tupu yeye anadhani kunyamaza ndiyo suluhisho.
 
Serikali ya mwenda zake ilifanya unyang'anyi na wizi mkubwa sana. Miaka waliyoua bihashara za watu hao pasina faida watawafidia wafanyabihashara hao?
 
“Serikali imesharudisha takribani TZS bilioni 9 kwa wafanyabiashara waliokuwa wamewekeza kwenye Bureau de Change [maduka ya kubadili fedha] ambazo zilikuwa zimekamatwa katika oparesheni iliyofanyika, na baada ya kujiridhisha na kukuta wamefuata na kuzingatia vigezo, wamerudishiwa fedha zao ili waendelee kufanya mambo yao.” – Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa


View: https://www.instagram.com/p/CwaEGr6KTTp/

Bandari vipi mtarudisha kwa watanzania ?
 
Back
Top Bottom