Kama ni kweli ndugu Maggid nasema asante kwa habari hizi. Ila nauliza kama ndiyo demokrasia hii kwamba awe mgombea pekee.Hapakuwa na wengine walio taka nafasi hizo ama Katiba inasema apendekezwe mmoja ?
Hata mimi nampa pole, ila angejifunza toka kwa mzee mwenzie, mhe Ndejembi aliyekuwa menyekiti wa sisiemu mkoa wa Dodoma. Mzee huyu aling'atuka na kutoa wosia kwa wazee wenzake kung'atuka. Malecela angefanya hivi nadhani angevuna heshima kubwa sana nani ya nchi. Funzo hili limfikie babu Kingunge pia.Sad thing about this on Malecela is that he was never open to public if he was going to step down or not. This now sounds like demotion due to the fact that he was associated with other "wataka umakamu"!
Mzee wetu ataingia katika historia kama mtu aliyecheza Patapotea na akadhihakiwa!
Je, Msekwa atakuwa tayari kuhakikisha makundi ndani ya CCM yanavunjwa na pia kupambana na ufisadi, ula rushwa, mikataba mibovu na viongozi wanaojilimbikia mali ili kurudisha credibility ya CCM inayozidi kuanguka kila kukicha!?
bado ni kitendawili, kwani Makamba akirudi itakua ni aibu nyingine. Aliyoyafanya Tanga na Maswa yanatosha kumsimamisha na wala si kumbadilisha
Halisi, kwani Mwanri si amejitahidi, kwani jinsi ninavyomuona Mwanri anaweza kuuvaa Ukatibu Mkuu na hivyo Nape anaweza kuwa mwenezi. Lakini Makamba atakwenda wapi?
hizi ni mbinu za rostam,Msekwa na Lowassa ni wamoja na wote ni mtandao maslahi,ila siri hii inafichwa sababu kuna baadhi ya watu wa mtandao walikuwa hawamtaki Msekwa,ila Msekwa naye ni mtandao per seeMsekwa ni most dikiteta.Ujue huyu Mzee ana majibu machafu sana na kumbuka kwamba huyu Mzee alifanya Bunge kuwa mali yake.Kumbukeni maamuzi yake .Msekwa kwake CCM kwanza na Tanzania nyuma. Connection ya RA naiona kwa kiasi kikubwa sana nina wasi wasi .
Kumbe Makamu wa CCM anakuwa picked not voted for ?
Malecela nilijua taanguka vibaya .Sasa kazi ya kupanga wizi wa kura na mikakati michafu anaichukua Msekwa na kama Nchimbi atalamba dume basi tegemeeni siasa chafu na za mabavu na makundi than ever .
...chaguzi kama hizi za mafisadi tuwaachie kina Kada na mwenzake Mwiba.
Msekwa ni most dikiteta.Ujue huyu Mzee ana majibu machafu sana na kumbuka kwamba huyu Mzee alifanya Bunge kuwa mali yake.Kumbukeni maamuzi yake .Msekwa kwake CCM kwanza na Tanzania nyuma. Connection ya RA naiona kwa kiasi kikubwa sana nina wasi wasi .
Kumbe Makamu wa CCM anakuwa picked not voted for ?
Malecela nilijua taanguka vibaya .Sasa kazi ya kupanga wizi wa kura na mikakati michafu anaichukua Msekwa na kama Nchimbi atalamba dume basi tegemeeni siasa chafu na za mabavu na makundi than ever .