Hivi punde tu, PIUS Msekwa amependekezwa na Kamati Kuu ya CCM kuwa mgombea pekee wa nafasi ya Umakamu Mwenyekiti, CCM. Hii ni kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika ndani ya CCM. Kwa habari zaidi katika picha, tembelea: http://mjengwa.blogspot.com
Bora nae wamemkumbuka!...Congratulations kwako Mzee MsekwaHivi punde tu, PIUS Msekwa amependekezwa na Kamati Kuu ya CCM kuwa mgombea pekee wa nafasi ya Umakamu Mwenyekiti, CCM. Hii ni kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika ndani ya CCM. Kwa habari zaidi katika picha, tembelea: http://mjengwa.blogspot.com
Kitila,Hapa CCM wamelamba dume, wamecheza! Naona wameamua kuwa serious kidogo. Uzuri kwetu na ubaya kwao ni kwamba huyu mzee siasa za majukwaani haziwezi kabisa, akina Mnyika watamnyanyasa sana. He is more of an intellectual than a politician. Sanasana atawasaidia kuwaandikia ccm mashairi lakini sio kukomboa majimbo kama mzee Malecela!
Hapa CCM wamelamba dume, wamecheza! Naona wameamua kuwa serious kidogo. Uzuri kwetu na ubaya kwao ni kwamba huyu mzee siasa za majukwaani haziwezi kabisa, akina Mnyika watamnyanyasa sana. He is more of an intellectual than a politician. Sanasana atawasaidia kuwaandikia ccm mashairi lakini sio kukomboa majimbo kama mzee Malecela!
Hivi sasa Nchimbi atakua K.Mkuu ataachia UWAZIRI?Anaweza kuifanya CCM system iwe sensible kidogo...
Kwa mtaji huu Katibu Mkuu huenda akawa mtu very bogus kama E. Nchimbi.