KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
Msekwa ni most dikiteta.Ujue huyu Mzee ana majibu machafu sana na kumbuka kwamba huyu Mzee alifanya Bunge kuwa mali yake.Kumbukeni maamuzi yake .Msekwa kwake CCM kwanza na Tanzania nyuma. Connection ya RA naiona kwa kiasi kikubwa sana nina wasi wasi .
Kumbe Makamu wa CCM anakuwa picked not voted for ?
Malecela nilijua taanguka vibaya .Sasa kazi ya kupanga wizi wa kura na mikakati michafu anaichukua Msekwa na kama Nchimbi atalamba dume basi tegemeeni siasa chafu na za mabavu na makundi than ever .
hakuna kitu kama wizi wa kura ndani ya CCM isipokuwa kama ccm haikutaki, viongozi wake wanakwambia hawakutaki regardless umeshinda au hujashinda. Viongozi wakamilifu na waadilifu ndio wanaotakiwa !
Shukrani !