this is sexual corruption . By two different women sio story za Jaba .Vp tuhuma zake na dozen zina ukweli wowote?
Hapa tungekuwa nchi iliyo serious, jamaa alikuwa na kesi ya kujibuthis is sexual corruption . By two different women sio story za Jaba .
Mwanaume halisi haogopagi kuchunwa.Salamu kina kaka,Epuka kuanza mahusiano na mwanamke ambae hata simu ya mkononi hana.Huyo ni kiashiria kwamba ni mwanamke asiye mtafutaji.
Pia kama simu yake ni mbovu ni kiashiria kua maisha yake ni magumu na atakuchuna sana.
Tukijaaliwa kupeleka mkono kinywani tusiwadhihaki na kuwadharau wale waliolala njaaSalamu kina kaka,Epuka kuanza mahusiano na mwanamke ambae hata simu ya mkononi hana.Huyo ni kiashiria kwamba ni mwanamke asiye mtafutaji.
Pia kama simu yake ni mbovu ni kiashiria kua maisha yake ni magumu na atakuchuna sana.
Maoni yako weka hapa plzKivumbi hichi hakitamuacha mweka mada salama...
Sijaelewa mada ila naona Kuna mshikemshike mweka mada lazima avue hilo chupi chuma..😂Maoni yako weka hapa plz
KwaniniKivumbi hichi hakitamuacha mweka mada salama...
We tulia tu hichi kivumbi ni chako wanakuja utajua kwanini...😂Kwanini
Hivi kwa uzoefu wako hapa jf huyo KISS 100 ni Me ama Ke?Sijaelewa mada ila naona Kuna mshikemshike mweka mada lazima avue hilo chupi chuma..😂
Salamu kina kaka,Epuka kuanza mahusiano na mwanamke ambae hata simu ya mkononi hana.Huyo ni kiashiria kwamba ni mwanamke asiye mtafutaji.
Pia kama simu yake ni mbovu ni kiashiria kua maisha yake ni magumu na atakuchuna sana.
Hebuuu atulie. 🤣
😂Kama kuna mdada huku kakataliwa kwa ajili ya simu na ana ushahidi aje inbox apate laki 1 ya simu.