Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,547
- 22,073
Halafu leo ni siku tukufu, acha na mie nitoke hapa 😂Mi nawaachia Uzi wenu sitaki dhambi nyingi...😅
Halafu leo ni siku tukufu, acha na mie nitoke hapa 😂Mi nawaachia Uzi wenu sitaki dhambi nyingi...😅
Twende mbele turudi nyuma.Kuna kitochi cha buku 50, huenda ndicho alichopigia hesabu 😂
Ngoja nikasali kwanza, nikumbushe baadae swali lako nitakupa jibu baada ya ibadaUzuri wa mtu upo machoni mwa mtazamaji,utamu wa mwanamke upo kwenye komwe?
Mpaka kids 🧒 wanamiliki simu kwa karne hii.Twende mbele turudi nyuma.
Karne hii nani hana simu? Achana na wanafunzi and the like.
We binafsi Ushawahi meet mtu hana simu??
Nilisoma tu title.
We umekuja kuwatetea wanaume maana kila siku wanalia lia humu kuhusu kuchunwa cha kushangaza leo wanajikana kama sio wao wanakwambia usiwapangie kwenye hela zao pumbav sana wanaumeKwa hiyo mnapenda kutoa tu,kuombwa kila saa
Kivipi?Nyie ndio mnafanya wanaume wote tuonekane hatuna akili
Hawajielew hao wapuuzi acha wachunwe tu pumbavu zaoSiku ukifukuzwa kazi na mapenzi imeisha
Wala pesa zetu wamekujaNakazia
Sikuzote Iko ivoHuu ni mwendelezo wa vita kati ya mwanamke na mwanamke, adui mkubwa wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe
Kwa hiyo vanessa aliacha mziki kisa majizzo? Sidhani kama hii ni kweli maana still alikuwa na backup ya media kibao, clouds, wasafi hata EA.Previous Vanessa Alisema rushwa ya ngono ni issue kubwa sana kwa industry . Na kuna report Majizzo was after her na aliamua kuacha mziki Kabisa . Currently ruby Anasema Tena . The same things . Same person yupo accused . Sasa Till when tutachukua hatua hata kumuoji ? Why ? What measures anachukua on his company?? Why just him ?! Watu wanamuangalia tu ?!!
Wengine hata viswaswadu hawana nyie kuna watu wana maisha magumu ebu acheni kudhalau pesa za watuUnaamkaje na makasiriko hivi?
Wapi nilitamka Iphone? Tuonyeshe tecno ya laki 1 kwanza. Iphone umeenda mbali mno.
Naunga mkono huu uziSalamu kina kaka, epuka kuanza mahusiano na mwanamke ambae hata simu ya mkononi hana. Huyo ni kiashiria kwamba ni mwanamke asiye mtafutaji.
Pia kama simu yake ni mbovu ni kiashiria kuwa maisha yake ni magumu na atakuchuna sana.
Haya.Wengine hata viswaswadu hawana nyie kuna watu wana maisha magumu ebu acheni kudhalau pesa za watu