Pole kwa wafiwa ingawaje ndio kwa mara ya kwanza nalisikia hili jina na kumuona muhusika mwenyewe
:rip: dada Kashi.
Nakumbuka niliserebuka sana kwenye sherehe yako.
Kuna Ni! Bongo Movie? R.I.P
Hili ni pigo lingine kwa wasanii wetu hapa nchini.
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema Kash (Jaji Khadija) amefariki dunia katika hopsital ya muhimbili ambapo alikua amelazwa. Kash amewahi kutamba sana katika Michezo ya kuigiza kipindi cha nyuma kidogo iliyokua ikirushwa ITV, hadi mauti yana mkuta amekua akijuhusisha na shughuli za kuigiza. Moja ya Igizo alilowahi kucheza ni Tamu Chungu.
#MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI. AM
chanzo:
RIP for him ama kweli duniani tunapita tu
RIP for him ama kweli duniani tunapita tu
'Alikuwa mtu mzuri sana na mfano wa kuigwa kwa uvaaji na tabia zake' Amen!
'Alikuwa mtu mzuri sana na mfano wa kuigwa kwa uvaaji na tabia zake' Amen!