Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,582
- 6,627
Wakuu,
Isaac hatunaye; amefariki dunia akiwa nchini Ujerumani.
Taarifa kwa kina nawasogezea..
======
MTANGAZAJI MAARUFU ISAAC GAMBA AFARIKI DUNIA
Amefariki akiwa nchini Ujerumani alikokuwa anafanya kazi katika Kituo cha Redio cha Deutsche Welle(DW) Idhaa ya Kiswahili
Taarifa za awali zinasema mtangazaji huyo Mtanzania amekutwa amefariki nyumbani kwake leo Alhamisi Oktoba 18, 2018
Inaelezwa kuwa jana Jumatano na Juzi Jumanne Gamba hakuonekana kazini
Akiwa nchini, amewahi kufanya kazi vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo Redio Uhuru, RFA, ITV na Radio One
Mungu ailaze mahari pema peponi roho ya Marehemu
Isaac hatunaye; amefariki dunia akiwa nchini Ujerumani.
Taarifa kwa kina nawasogezea..
======
MTANGAZAJI MAARUFU ISAAC GAMBA AFARIKI DUNIA
Amefariki akiwa nchini Ujerumani alikokuwa anafanya kazi katika Kituo cha Redio cha Deutsche Welle(DW) Idhaa ya Kiswahili
Taarifa za awali zinasema mtangazaji huyo Mtanzania amekutwa amefariki nyumbani kwake leo Alhamisi Oktoba 18, 2018
Inaelezwa kuwa jana Jumatano na Juzi Jumanne Gamba hakuonekana kazini
Akiwa nchini, amewahi kufanya kazi vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo Redio Uhuru, RFA, ITV na Radio One
Mungu ailaze mahari pema peponi roho ya Marehemu