OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,201
- 103,740
huko kwenu mnasikia rais anakula muhindi jukwaani?mambo ya ajabu kabisaIlikuwa ni awamu ya kishamba kuwahi kutokea. Mungu yupo kazini na hashindwi na lolote.
huko kwenu mnasikia rais anakula muhindi jukwaani?mambo ya ajabu kabisaIlikuwa ni awamu ya kishamba kuwahi kutokea. Mungu yupo kazini na hashindwi na lolote.
Acha kudemka. Ndiyo neno la mujini. Sasa wewe endelea kudemkaAwamu ya tano kuliibuka jina mashuhuri sana majukwaani, mitandaoni, Radio na TV na hata mitaani yaani MABEBERU.
Sikujua kuwa majina nayo yana kufa kama wafavyo watu au watu wana kufa na majina/maneno yao?
Sasa hakuna mahali linasemwa tena jina hilo wala wale waliitwa vibaraka wa mabeberu hawaitwi tena.
Sio majukwaani, bungeni wala vikao vya CCM huwezi kusikia maneno hayo tena, MABEBERU.
Je, Mabeberu wamekufa kama alivyo ondoka aliyekuwa anapenda kuwaita?
😆😆😆 Wakijibu nistue mkuuAwamu ya tano kuliibuka jina mashuhuri sana majukwaani, mitandaoni, Radio na TV na hata mitaani yaani MABEBERU.
Sikujua kuwa majina nayo yana kufa kama wafavyo watu au watu wana kufa na majina/maneno yao?
Sasa hakuna mahali linasemwa tena jina hilo wala wale waliitwa vibaraka wa mabeberu hawaitwi tena.
Sio majukwaani, bungeni wala vikao vya CCM huwezi kusikia maneno hayo tena, MABEBERU.
Je, Mabeberu wamekufa kama alivyo ondoka aliyekuwa anapenda kuwaita?
Ha ha ha,Kuanzia Leo chattle iitwe mabatini!
Kina nani hao? Hivi unajitambua kweli? Mtu unaanzishi mradi wa Reli amakukopesha pesa kufanikisha huo mradi, inakuwaje eti useme anauchukia huo mradi wako na hapendi ufanikiwe?Wanatamani reli, ndege, mabarabara, mahospitali wayafunge lakini haiwezekani
Magufuli aliwagaragaza akiwa Hai na atawagaragaza akiwa mauti.
Naaam, Mwendakuzimu kahifadhiwa mabatini!Ha ha ha,
So mwendazake yupo zake mabatini??
Kila siku naamini wewe ni mtu wa hovyo sana.Mabeberu ni msamiati ulioibuka miaka ya kusaka uhuru na sio awamu ya tano.acha kupotosha umma
Awamu ya tano kuliibuka jina mashuhuri sana majukwaani, mitandaoni, Radio na TV na hata mitaani yaani MABEBERU.
Sikujua kuwa majina nayo yana kufa kama wafavyo watu au watu wana kufa na majina/maneno yao?
Sasa hakuna mahali linasemwa tena jina hilo wala wale waliitwa vibaraka wa mabeberu hawaitwi tena.
Sio majukwaani, bungeni wala vikao vya CCM huwezi kusikia maneno hayo tena, MABEBERU.
Je, Mabeberu wamekufa kama alivyo ondoka aliyekuwa anapenda kuwaita?
Mama D ungerudi tuu kupikia watoto pilau la iddi. Mabeberu hao ni nani hasa?
Awamu ya tano kuliibuka jina mashuhuri sana majukwaani, mitandaoni, Radio na TV na hata mitaani yaani MABEBERU.
Sikujua kuwa majina nayo yana kufa kama wafavyo watu au watu wana kufa na majina/maneno yao?
Sasa hakuna mahali linasemwa tena jina hilo wala wale waliitwa vibaraka wa mabeberu hawaitwi tena.
Sio majukwaani, bungeni wala vikao vya CCM huwezi kusikia maneno hayo tena, MABEBERU.
Je, Mabeberu wamekufa kama alivyo ondoka aliyekuwa anapenda kuwaita?
Haujawahi kufa.... ila Mabeberu na vibaraka wao ndio wamekimbilia ughaibuni
Msamiati MABEBERU upo tangu enzi za mwalimu na unaendelea kuwepo
Huyu Dogo analima NyanyaNi mengi hayapo tenaView attachment 1785348
Labda mabeberu yalichinjwa watu wakala nyama na supuAwamu ya tano kuliibuka jina mashuhuri sana majukwaani, mitandaoni, Radio na TV na hata mitaani yaani MABEBERU.
Sikujua kuwa majina nayo yana kufa kama wafavyo watu au watu wana kufa na majina/maneno yao?
Sasa hakuna mahali linasemwa tena jina hilo wala wale waliitwa vibaraka wa mabeberu hawaitwi tena.
Sio majukwaani, bungeni wala vikao vya CCM huwezi kusikia maneno hayo tena, MABEBERU.
Je, Mabeberu wamekufa kama alivyo ondoka aliyekuwa anapenda kuwaita?