MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Duh! Nilishtuka sana. Ninamuombea aendelee na shughuli zake vyema na arejee.AD, Maria kaomba BAN ili aweze kumaliza shughuli zake zilizomkabili hakufanya kosa lolote. Si unajua tena jamvi hilo lilivyo addictive? Shughuli muhimu zinaweza kulala ati kwa kutaka kuchungulia huku kila dakika.