Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,398
- 1,266
WanaJf,
Salaam!
Haya ni maneno ya viongozi wa juu wa Chama cha Chadema:-
(a). Tundu Lissu - Tanzania ni nchi pekee duniani yenye watu waoga na wajinga. Aliongeza kuwa "nilitegemea kuona vijana na wanawake wakidai haki zao". Kwa mukitadha huu vijana na wanawake kutodai haki zao kwa mjibu wa CDM ni ujinga! CDM jichunguzeni.
(b). Godbless Lema - aliyoyasema kuhusu vijana wa bodaboda ni kuwakosea heshima vijana wetu, ni kuwakosea heshima wazazi wa vijana wetu, ni dhihaka kwa wanawake nchini. BODABODA NI KAZI YA LAANA.
CDM JICHUNGUZENI!
Nawakumbusha tu ili 2025 tusishangae kwenye kwa matokeo mabaya
Salaam!
Haya ni maneno ya viongozi wa juu wa Chama cha Chadema:-
(a). Tundu Lissu - Tanzania ni nchi pekee duniani yenye watu waoga na wajinga. Aliongeza kuwa "nilitegemea kuona vijana na wanawake wakidai haki zao". Kwa mukitadha huu vijana na wanawake kutodai haki zao kwa mjibu wa CDM ni ujinga! CDM jichunguzeni.
(b). Godbless Lema - aliyoyasema kuhusu vijana wa bodaboda ni kuwakosea heshima vijana wetu, ni kuwakosea heshima wazazi wa vijana wetu, ni dhihaka kwa wanawake nchini. BODABODA NI KAZI YA LAANA.
CDM JICHUNGUZENI!
Nawakumbusha tu ili 2025 tusishangae kwenye kwa matokeo mabaya