Jakomhabari
Member
- Jul 29, 2015
- 26
- 15
Alidhani atakua gavana wa BOT.imekula kwake,bado tunamtaka bosi wao nae akamatwe.
Hawezi kuwa Governor hata kwa dawa. Hana sifa ya kuwa mtumishi wa Serikali kwa sababu si Raia wa Tanzania. Soma historia yake vizuri.