Msaidizi wa Kampeni wa Edward Lowassa mbaroni

Msaidizi wa Kampeni wa Edward Lowassa mbaroni

DSC02265.jpg
 
Siasa za Visasi. Hatutakubali nchi iendeshwe kwa visasi vya mtu mmoja mwenye madhaifu yake

Tunajua kinachofanyika tarehe 5,Novemba.
 
Siasa za Visasi. Hatutakubali nchi iendeshwe kwa visasi vya mtu mmoja mwenye madhaifu yake

Tunajua kinachofanyika tarehe 5,Novemba.

Mkuu Ben unazungumzia novemba ipi? Hii au ya mwakani? Au hapo kwenye tarehe nia typing erra?
 
wallah mtu anayeshabikia mambo ya ccm wanayofanya nch hii naamin hajijui ila nina iman dhambi ya kula nyama ya mtu haikuachi itakuandama ipo siku watanzania wote watajua ccm ni chama dhalim hakina hata chembe ya huruma kwa watanzania wala haitoweza kuja kumthamin mtanzania katu abadan.leo wanaccm wanacheka ila ipo siku watalia kama watanzania wengine waliokwisha elimika wakaujua ubaya wa chama hiki.kwakua siku watakayoona nyama yao inaliwa ndipo watakapojua nyumba hiyo haiwafaui
 
ninachojiuliza ni kuwa huyu mtu amekuwa hapa nchini kama mtumshi wa benki na amekuwa akisafiri Je? amekuwa akitumia hati ya nchi gani? kama ni Tanzania alikuwa mtu Maaufu kama CEO wa benki kubwa kwanini hakuweza kugundulika? Je kugundua muda huu uweledi wa Uhamiaji katika kukamata wanaofoji hati za kusafiria za Tanzania utapimwaje? na kwanini mtu wa Uhamiaji hajalitolea maelezo? ah maswali mengi???????

Utaumiza kichwa bure,Kova angekuwa anavaa tu jezi za CCM tungemwelewa.
 
Mkuu tatizo na wewe unaleta ushabiki bila mantiki.
Hebu fuatilia gazeti la Nipashe imekiri kuwa jamaa ni mkenya. Pia kibali chake cha kuishi nchini kama mgeni imewekwa. Sasa unabisha nini? Mlikuwa mnamtumia mkenya mwenye asili ya kisomali kama mshauri wenu wa kisiasa. Lazima tuhoji watanzania uzalendo wenu na wa mgombea wenu.[/QUOTE
Hakuna kitu kibaya kama ulofa wa akili,kukaa miaka mingi nchi ambayo sio yako hakukupi kuwa raia wa nchi husika ,ndio maana unaweza beba box miaka kibao nchi za watu lakini huwezi kupiga kura na kupewa passi ya nchi husika bila kutimiza vigezo,pia huruhusiwa kushiriki mambo ya siasa kama wewe sio mwananchi wa nchi husika,halafu huyu mheshimiwa amedanganya kuwa kazaliwa Dodoma wakati si kweli alikuja hapa kwa mgongo wa CITI bank na akahamia benki ingine ,mafisadi wakampa pasi na kumfanya ni mtanzania,akina Masha wana la kujibu.
 
Mkuu Ben unazungumzia novemba ipi? Hii au ya mwakani? Au hapo kwenye tarehe nia typing erra?
Ben kweli unajishushia hadhi kwa maneno unayoongea ,naona umekuwa kipofu wa sheria za nchi,kwa mtu anayejiita mtafiti na anashindwa kufanya utafiti ndio ajibu majibu sahihi ni kuidharilisha taaluma ya utafiti.Hivi wewe Ben unaweza vuka Rombo ukaenda Taveta ukajiandikisha kuwa wewe ni raia wa Kenya ,ukapiga kura wakati unajua kisheria haki hiyo huna na ukashiriki kwenye kampeni za kisiasa wakati unajua wewe sio Mkenya ,halafu ukikamatwa utadai ni siasa za upinzani,wenzetu linapokuja suala la uraia na usalama wa nchi siasa za majitaka huweka pembeni,na utaifa huchukua nafasi.
 
Background

Mr. Bashir Awale serves as Regional
Investment Bank Executive for East
Africa as well as Ethiopia and South
Sudan. Mr. Awale served as Managing
Director of Stanbic Bank Tanzania
Ltd. He served as Chief Executive
Officer and Managing Director of
Stanbic Bank Uganda Limited until May
31, 2013. He had an illustrious career
in the banking industry having
structured deals from CitiBank before
joining Stanbic where he is known for
structuring various deals with
companies such as Vodacom, Celtel
(now known as Airtel), Tanesco and
the latest landmark deals with the
government. Mr. Awale has been an
Executive Director of Stanbic Bank
Tanzania Ltd since May 26, 2006.
 
we Ben unazungumziaje siasa za visasi wakati mnavunja sheria za nchi au mlifikiri vymbo vya usalama vimelala na bado watashugulikiwa mmoja baada ya mwingine Lowasa angekuwa mgombea wa ccm sasa hivi mngekuwa mnapigia kelele hii ishu kwenye vigazeti vyenu vya udaku vya mawio,mwanahalisi na tanzania daima hivi kwenda ikulu mpaka mvunje sheria za nchi
 
Ikiwa wewe ni Mtanzania halafu humtambui rais huo ni uhaini. Hukumu yake kwenye baadhi ya nchi ni kunyongwa hadi kufa. Tahadhari ichukuliwe.

Naona akili yako iko mwaka 1947 POLE sana.Inawezekana kweli Magufuli ameshinda kihalali na inawezekana kuna mamabo yamefanyika ili kulazimisha ushindi.Yote yanawezekana.Ila kuondoa UTATA sioni tatizo kwanini kusiwe na uhakiki wa hizo kura ili wote waliokuwa kwenye mchakato wakakubali kwa kuamini kwamba wameshindwa baada ya kuhakiki kura.

Kutokumkubali au kumkubali Magufuli ni UTASHI wa mtu na maamuzi ya mtu,lakini si uhaini.
 
Ccm mnamatatizo tuseme kipindi kile yuko kwenu hamkujua kuwa ni mkenya acheni siasa za visasi hazifai hata kidogo
 
Back
Top Bottom