Msaidizi wa Kampeni wa Edward Lowassa mbaroni

Msaidizi wa Kampeni wa Edward Lowassa mbaroni

NIPASHE wako biased kweli. Kwa sababu wale vijana 8 walishitakiwa kwa kosa la kujumlisha matokeo na kuyatoa bila idhini ya Tume lakini wao wamesema kwa kosa la kujumlisha matokeo. Nadhani kujumlisha matokeo siyo kosa kama Kova alivyodai shida ni kuyatoa bila kibali
 
Nipashe very biased. Ukisoma ni kwamba jamaa kaonewa tayari. Kwanin wasisubiri taarifa ya polisi? Inawasaidia nini kuliyumbisha jeshi la polisi au kuingiza siasa kwenye utendaji? Wasubiri halafu watahoji
Also police should be fair and justice. No one should incriminated without justifiable cause and at end Justice should prevail in all spheres!
 
jamani msichanganye mambo , huyo jamaa ni mkenya alepewa kibali kuishi tz kwa lengo la kufanya biashara na sio siasa.
ndio maana wamemkamata,
na yeyey hausiki tkt escrow hata kidogo.
 
Eti uchunguzi uliofanywa na gazeti. Tusubiri uchunguzi wa polisi. Nadhani wale ma IT 191 wanabanwa nyeti zao huko jela watakua wanalopoka sana. Ngoja tuone movie inaendelea

Huwezi kamata mtu halafu ndio ufanye uchunguzi. Polisi wanatakiwa kukamata mtu kwa amri ya mahakama Na sio ya kova. Only in Tanzania where civil rights are not followed!
 
Asante Mungu kutuepusha na lile fisadi, asante sana JK kuhakikisha fisadi lile halipiti kuanzia kwenye kamati ya maadili, wala kamati kuu, mbona tungekoma!
chupuchupu gasi yetu

Hahaha ha. .chupuchupu gesi mkuu? Nimechoka sana
 
Nadhani hizo ndo wananchi wanapaswa kujua...
Hopefully police watakuwa na complete profile la huyo jamaaa
 
jamani msichanganye mambo , huyo jamaa ni mkenya alepewa kibali kuishi tz kwa lengo la kufanya biashara na sio siasa.
ndio maana wamemkamata,
na yeyey hausiki tkt escrow hata kidogo.
Kwa mujibu wa Mtoa taarifa ( Gazeti la Nipashe) alikuwa yupo kwenye Team Lowassa tangu akiwa CCM. Na kwa maelezo yako Msami amekamatwa kwa kujiingiza katika siasa wakati siyo Mtanzania, kwa nini iwe sasa na siyo tangia Lowassa akiwa CCM? Je kuna jambo nyuma ya pazia?
 
Nipashe very biased. Ukisoma ni kwamba jamaa kaonewa tayari. Kwanin wasisubiri taarifa ya polisi? Inawasaidia nini kuliyumbisha jeshi la polisi au kuingiza siasa kwenye utendaji? Wasubiri halafu watahoji

Acha ushamba, unafikiri ni sawa kumkamata mtuhumiwa na kutelekeza gari yake kwenye eneo la tukio?meaning sehemu aliyokamatiwa?
 
Also police should be fair and justice. No one should incriminated without justifiable cause and at end Justice should prevail in all spheres!
They are doing their job. Why asking for fairness while no one has been charged?
Tutulie kwanza mbona watu roho zinatuenda mbio. Upande mmoja tunataka maendeleo na usalama, upande mwingine tunalalama. The guy hasn't been implicated in anything yet.
 
Kwa mujibu wa Mtoa taarifa ( Gazeti la Nipashe) alikuwa yupo kwenye Team Lowassa tangu akiwa CCM. Na kwa maelezo yako Msami amekamatwa kwa kujiingiza katika siasa wakati siyo Mtanzania, kwa nini iwe sasa na siyo tangia Lowassa akiwa CCM? Je kuna jambo nyuma ya pazia?

Hakuna cha jambo nyuma ya pazia wala nini! Huyo jamaa siyo raia wa TZ na sheria hairuhusu Mgeni kujihusisha na siasa, basi! Kama alifanya akiwa CCM au sijui ukawa Lowasa chadema hiyo siyo ishu, ishu hapa ni kwamba amevunja sheria ya nchi, basi! mengine yooote porojo tu!
 
jamani msichanganye mambo , huyo jamaa ni mkenya alepewa kibali kuishi tz kwa lengo la kufanya biashara na sio siasa.
ndio maana wamemkamata,
na yeyey hausiki tkt escrow hata kidogo.

amekulia kwa wajomba kenya ila ni mtanzania chunguza vizuri utabaini
 
Kwa mujibu wa Mtoa taarifa ( Gazeti la Nipashe) alikuwa yupo kwenye Team Lowassa tangu akiwa CCM. Na kwa maelezo yako Msami amekamatwa kwa kujiingiza katika siasa wakati siyo Mtanzania, kwa nini iwe sasa na siyo tangia Lowassa akiwa CCM? Je kuna jambo nyuma ya pazia?

ameshaachiwa yuko uraiani bashir mama ndio mtu wa mombasa kakulia kwa wajomba
 
Back
Top Bottom