Msaidizi wa Kampeni wa Edward Lowassa mbaroni

Msaidizi wa Kampeni wa Edward Lowassa mbaroni

Sina hakika kama Tanzania itarudi kuwa nchi ya watu wamoja baada ya Uchaguzi huu ulioisha.
Yangu macho! Nione ushabiki huu utatupeleka wapi!

Rai yangu tu ni kuwa hakuna nchi itakayokubali kubeba wakimbizi Mil 45+
 
hapo nashindwa kuelewa weledi wa jeshi letu maalim seifu wa zanzibar aliyejumlisha na kutangaza yupo mitaani hawa walio jumlisha wanaswekwa ndani au polisi zanzibar tofauti na huku au kunalingine nyuma ya pazia

ishu ni simple na ndiyo maana matokeo ya zenj yalifutwa.....halaf ni kosa kwa mgeni kupiga kura ama kuingilia mchakato wa upi kura.....huo ni uhaini yaan waangaliz tu hawaruhusiwi sembuse mtu asiye na kibali......yan hata mkimbiz ni marufuku ....tatizo ndo hilo na akina lowassa wanajua sana
 
Uzuri ni kuwa hatatoka polisi akaishia jela, atakwenda mahakamani na mahakama itasikiliza kesi na itayatolea hukumu mashtaka kulingana na sheria, na pia atakuwa na mawakili wa utetezi.

Hivyo polisi sio mwisho, na kwa hiyo sioni sababu ya watu kuanza kupiga kelele humu utadhani hukumu ya kwenda jela imeshatolewa tayari.

Kukaa polis mwisho ni masaa 48 lazima uwe umefikishwa mahakamani .
 
They are doing their job. Why asking for fairness while no one has been charged?
Tutulie kwanza mbona watu roho zinatuenda mbio. Upande mmoja tunataka maendeleo na usalama, upande mwingine tunalalama. The guy hasn't been implicated in anything yet.

That is called detention without trial,its unlawfully, its one of the elements of a dictatorial regime.
 
Acha ushamba, unafikiri ni sawa kumkamata mtuhumiwa na kutelekeza gari yake kwenye eneo la tukio?meaning sehemu aliyokamatiwa?

Kumkata mtu na kulitelekeza gari lake si haki walipaswa waendeshe hadi kituoni.
 
Yupo nyumbani au yupo wapi mkuu ebu tujuze kwa uhakika zaidi

ameachiwa tayari ndio taarifa za mchana huu.......huyu jamaa edo kuomba udhamini akiwa ccm amezunguka nae mikoa yote hawakuona kua ni mkenya......akiwa cdm ndio kawa mkenya
 
Mimi namwambia Lowassa na Mbowe, CCM watatumaliza tukiendelea kukaa kimya. They are coming on us with everything, we better act now while we still have the muscle.
 
Katika wakenya 1000 wanaoishi Tanzania ni mmoja tu atasema yeye ni mkenya waliobaki watakwambia ni wamasai au watu wa mkoa wa Mara Ila wamesomea Kenya nimeshawazoea

Tanzania kuna wakongo na warundi na wanyarwanda zaidi ya million mbili hapo hujaguza wanyasa, wazambia na Nchi zingine,?sidhani kama wageni ndiyo kikwazo cha Nchi kukosa maendeleo wala si wageni waliomfamnya Lowasa akatoa Upinzani kwa ccm, huu si mda wa kuutukuza Ubaguzi ni mda wa kutulia na kutafakari hali ya Zanzibar na kuangalia jinsi ya kupiga hatua kimaendeleo.
 
Duuuhhhj......sijui nihamie CCM au nibaki CHADEMA kisirisiri huku nikimuomba Mungu atunusuru.
 
ameachiwa tayari ndio taarifa za mchana huu.......huyu jamaa edo kuomba udhamini akiwa ccm amezunguka nae mikoa yote hawakuona kua ni mkenya......akiwa cdm ndio kawa mkenya

Kenya Uganda ni ndugu zetu na kampuni zao nyingi zipo hapa ikiwemo bank huu Ubaguzi na chuki za ajabu Sidhani kama utasaidia Nchi kupiga Hatua kimaendeleo.
 
That is called detention without trial,its unlawfully, its one of the elements of a dictatorial regime.
Not true at all. Even in the so called democratic states, we have witness renditions at the highest level. By the way, he was arrested and quizzed by the police. It was an allegation. Someone has to be arrested and questioned and not detained.
 
Hakuna cha jambo nyuma ya pazia wala nini! Huyo jamaa siyo raia wa TZ na sheria hairuhusu Mgeni kujihusisha na siasa, basi! Kama alifanya akiwa CCM au sijui ukawa Lowasa chadema hiyo siyo ishu, ishu hapa ni kwamba amevunja sheria ya nchi, basi! mengine yooote porojo tu!
Sheria haikumuona kipindi akiwa ccm?
 
Kenya Uganda ni ndugu zetu na kampuni zao nyingi zipo hapa ikiwemo bank huu Ubaguzi na chuki za ajabu Sidhani kama utasaidia Nchi kupiga Hatua kimaendeleo.

visasi zimeanza wasipoangalia watamalizana wao kwa wao......naskia jamaa anapenda visasi sana bdo wale aliosema mchana wko nae ucku wko ukawa
 
Mimi namwambia Lowassa na Mbowe, CCM watatumaliza tukiendelea kukaa kimya. They are coming on us with everything, we better act now while we still have the muscle.
Huu ni uchochezi. Hiyo misuli yako hakuna anayehitaji. Tujenge nchi na kuacha majungu kwa vitu visivyo na ufaham. Hivi ikitokea ukapotea ndugu zako wa karibu hiyo misuli itakusaidia nini. Tumia akili. Ukiweza jifungie chumbani payuka mwenyewe ndio uje jamvini
 
Hatua za aina hii wakati kama huu baada ya kwisha kwa uchaguzi ni ama dalili za serikali kukosa kujiamini au kuwa na watu waliozama kwenye visasi. Ni dalili mbaya kwa mustakabali wa nchi kwani hakuna mwenye ukiritimba wa hulka ovu na zikiendekezwa hazitoweki kirahisi.
 
Not true at all. Even in the so called democratic states, we have witness renditions at the highest level. By the way, he was arrested and quizzed by the police. It was an allegation. Someone has to be arrested and questioned and not detained.

I don't think they needed to arrests him,they needed to call him and question him. You cant just be arrested for an allegation otherwise police will full of people not needed to be there.
 
Back
Top Bottom