Msaidizi wa Kampeni wa Edward Lowassa mbaroni

Msaidizi wa Kampeni wa Edward Lowassa mbaroni

hapo nashindwa kuelewa weledi wa jeshi letu maalim seifu wa zanzibar aliyejumlisha na kutangaza yupo mitaani hawa walio jumlisha wanaswekwa ndani au polisi zanzibar tofauti na huku au kunalingine nyuma ya pazia
Kazi ndo inaanza watanyooka tu mwaka huu wajiandae kukimbia nchi dadadeq zao
 
Mtamlilia sana Kikwete! Wale wooote wanao dhani awamu ya tano ni awamu ya kutukana kwenye media na uhuni mwingine wowote basi eleweni kuwa jeshi la polisi limeagizwa kufanya kazi at full capacity. Huyo Awale ana tuhuma zake za kutakatisha pesa haramu pale Stanbic. Nipashe walitaka kuuza gazeti ndio maana wameandika habari yao kwa kuokoteza kwa kuwa bado hawajapatiwa taarifa kamili kuhusu huyo fisadi.

Yani Lowassa hakuwahi kuzungukwa na watu wasafi. Kweli fisadi ni fisadi tu.
 
Eti uchunguzi uliofanywa na gazeti. Tusubiri uchunguzi wa polisi. Nadhani wale ma IT 191 wanabanwa nyeti zao huko jela watakua wanalopoka sana. Ngoja tuone movie inaendelea

At least unajua kuwa ni movie. Ila nikukumbushe kuwa movie zinazohusu jeshi la polisi sio za kuzishabikia, ipo siku haki yako na wewe itaingia matatani, ndio utajua kuwa dola haina rafiki.
 
Inamaana wakati wa ile kashfa huyu ndo alikuwa boss Stanbic?

Swali lako lina element za kinafiki, na bila shaka unaweza ukajidhani kuwa umeongea jambo la maana. Nikukumbushe kuwa, asilimia kubwa ya maovu yanayohusika na hicho unachochagiza yamefanywa na watu ambao tunawataraji kuwemo kwenye serikali inayoundwa. Kama una dini kaa tafakari!
 
Huyu jamaa 2013 ali resign au alipandishwa cheo?
 
na bado mwaka huu wataisoma namba, huu uongozi ni wa msukuma toka chato ahan masihala, sio ule wa msoga.
much respect sana kamanda wangu kova kwa kuifanya kazi yako vizuri chini ya jemedari Dk Pombe.
ufisadi bhanaaa lazima uumbuke, na bado mahakama inakuja,,
#HapaKaziTu!
 
CCM mbona povu linawatoka sana? Hivi nchi hii wakukamatwa ni wapinzani tuu, mnatoa povu hadi kwa gazeti linalohabarisha eti wangesubiri, nchi inakoelekea siko asee
 
Swali lako lina element za kinafiki, na bila shaka unaweza ukajidhani kuwa umeongea jambo la maana. Nikukumbushe kuwa, asilimia kubwa ya maovu yanayohusika na hicho unachochagiza yamefanywa na watu ambao tunawataraji kuwemo kwenye serikali inayoundwa. Kama una dini kaa tafakari!
Naona hapa umekiri jamaa anahusika na madudu fulani ila unasema wako na wenzake basi tuache sheria ifuatwe
 
Nipashe very biased. Ukisoma ni kwamba jamaa kaonewa tayari. Kwanin wasisubiri taarifa ya polisi? Inawasaidia nini kuliyumbisha jeshi la polisi au kuingiza siasa kwenye utendaji? Wasubiri halafu watahoji

Mkuu Wala Usipate Shida Na NIPASHE Na MIPUA MEDIA Nzima Kwani Wingu La Mvua Kubwa Inaendelea KUJIKUSANYA Na Siyo Siku Nyingi Kuna Mvua Kubwa ITAWANYESHEA Na Watatafutana Hapo.
 
Back
Top Bottom