Kuna mambo yanayoendelea na yasipochukuliwa kwa umakini wananchi watalipuka. Muda utasema
Nipashe very biased. Ukisoma ni kwamba jamaa kaonewa tayari. Kwanin wasisubiri taarifa ya polisi? Inawasaidia nini kuliyumbisha jeshi la polisi au kuingiza siasa kwenye utendaji? Wasubiri halafu watahoji
Zaidi ya kuonyesha ukosefu wa mawazo, hujaongea point.Swali lako lina element za kinafiki, na bila shaka unaweza ukajidhani kuwa umeongea jambo la maana. Nikukumbushe kuwa, asilimia kubwa ya maovu yanayohusika na hicho unachochagiza yamefanywa na watu ambao tunawataraji kuwemo kwenye serikali inayoundwa. Kama una dini kaa tafakari!
Serikali yetu ndio ilimulea vibaya mmiliki wa IPP media,nafikiri huu ndio muda muhafaka wa kuambiwa/pewa mipaka atambue kwamba uhuru husio na mipaka ni chanzo cha vurugu.Matambala ya Mengi na kuspeculate, we fikiria polisi hawajatoa taharifa lakini nipashe washafanya uchunguzi wao ..mnaanzaje kutoa upande wenu wakati hamna taharifa ya kutoka polisi
Tuliwaonya Mapema Lakini Mkadhani Tuko Ktk Drama Sasa Kila Mtu Anakipata Alichokipanda Na Mtanyooka Kweli.
Inamaana wakati wa ile kashfa huyu ndo alikuwa boss Stanbic?
Labda Wananchi wa Kishumundu na Kibosho lkn WatanZania waliobakia wana Imani na Magufuli kwanza hata wale waliompigia kura fisadi Lowasa wameanza kujutia kura zao baada ya kuona kasi ya Raisi JPM!
Kasi gani yakuzulula ovyo au
kama uchaguzi umeisha na uishe na mambo yake lakini hii tabia ya kuendeleza uhasama utaliingiza taifa kwenye msuguano. ndio maana mi nasemaga hii nchi hatuwezi kuogopana mpaka tuchapane kwanza japo miezi mitatu tu
Huyu jamaa wanataka kumwogopesha asije kutaja majina ya EscrowInamaana wakati wa ile kashfa huyu ndo alikuwa boss Stanbic?
Ndiyo hiyo hiyo tunayoitaka WatanZania!