babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,113
- 16,025
Hapa mbezi umepita msafara wa huyu mkubwa naona sijui anatoka kufanya uzinzuzi wapi.msafara umeshiba kama v 8 sita hivi na magari ya polisi na traffic kama sita hivi.yaani sijaona haja ya makamu wa rais kuwa na msafara mzito namna hiyo