Msafara wa Rais lazima uende kasi?

matawi

JF-Expert Member
Mar 29, 2010
2,052
242
Wanajamvi kwa kuwa jf ni sehemu ya kubadilishana ujuzi/elimu naomba kuhabarishwa umuhimu wa gari za msafara wa raisi na viongozi wengine kwenda kasi hasa maeneo yenye miji mikubwa kam dsm. Nauliza hivyo kwa sababu kila siku wadau wa usimamiziwa usalama barabarani wamekuwa wakisisitiza umuhimu wa kwenda mwendo wa taratibu ili kupunguza uwezekano wa kutokea ajali. nina imani kama msafara wa raisi usingekuwa na spidi yule trafic asingegongwa au hata akigongwa labda asingepoteza maisha
 
Sio nchi zote zina ujinga huo.. hii inasababisha na usalama mdogo, ivyo njia pekee ni kukimbia kwa kasi... kazi ya usalama wa taifa haionekani ni kuteka tuu wakina ulimboka, Na wakati mwingine viongozi waccm wanaogopa kuzomewa kwahiyo mwendo wa kasi unawasaidia sanaa...
 
Wanajamvi kwa kuwa jf ni sehemu ya kubadilishana ujuzi/elimu naomba kuhabarishwa umuhimu wa gari za msafara wa raisi na viongozi wengine kwenda kasi hasa maeneo yenye miji mikubwa kam dsm. Nauliza hivyo kwa sababu kila siku wadau wa usimamiziwa usalama barabarani wamekuwa wakisisitiza umuhimu wa kwenda mwendo wa taratibu ili kupunguza uwezekano wa kutokea ajali. nina imani kama msafara wa raisi usingekuwa na spidi yule trafic asingegongwa au hata akigongwa labda asingepoteza maisha

Mimi nadhani ni misifa tu maana hakuna mwenye mpango wa kugonga au kufanya lolote wakati ana walinzi,umefika muda sasa waangalie usalama wao na waaskali pia wanaowapitisha watawauwa wote kisa misifa ambayo haina maana,nimeona hata magereza wameanza huo ujinga
 
Msafara wa Rais/viongozi huenda kwa kasi kwa sababu za kiusalama, lakini ukiangalia kwa upande wa pili mwendo huo si salama kwani umeshapoteza maisha na kusababisha hasara mbalimbali. Ingekuwa busara kama tahadhali ikachukuliwa ili kuepusha majanga kama haya.
 
Wanajamvi kwa kuwa jf ni sehemu ya kubadilishana ujuzi/elimu naomba kuhabarishwa umuhimu wa gari za msafara wa raisi na viongozi wengine kwenda kasi hasa maeneo yenye miji mikubwa kam dsm. Nauliza hivyo kwa sababu kila siku wadau wa usimamiziwa usalama barabarani wamekuwa wakisisitiza umuhimu wa kwenda mwendo wa taratibu ili kupunguza uwezekano wa kutokea ajali. nina imani kama msafara wa raisi usingekuwa na spidi yule trafic asingegongwa au hata akigongwa labda asingepoteza maisha

Hivi hawezi kutumia Elikopta?
 
...vivuli vyetu wakati mwingine vinatisha sana lazima ukimbie haraka kisikukute....
 
Ni uoga tu wa viongozi wetu..kutokana na matendo yao mabaya..siku ikipata
ajali nadhani watakufa sana. Nakumbuka ilitokeaga ajali ya polis waliokuwa mbele kwenye msafara wa makamu wa Rais Gharib Bilal kule tanga.. hawakusimama kamwe! waliendelea na safari.. Askari wa tatu walikufa pale pale.. nikasema kweli viongozi wetu hawana utu..
 
kwa nini wampopoe? kuna kitu aliwaahidi hajawatimiza? nafikiri anaenda speed kukwepa target kumbe mawe!!
Kule mbea walishampopoa na mimawe...
Nadhani pia kawe alipopolewa tena na mimawe..hapendwi huyu Jk.. Ni Raisi pekee aliepigwa mawe tz!
 
Kiusalama zaidi hii ni moja ya mbinu za kujikinga na wadunguaji ma snipers inakuwa ni kazi sana kwa sniper kuiweka target ya object inayo move km 80/h... kuliko kuwa chini ya hapo...

Kama kweli mwendo kasi ungekuwa ni mbinu nzuri ya usalama basi msafara za rais wa Marekani ungekuwa unakwenda kwa kasi ya ajabu! Lakini kwa waliowahi kuhuhudia 'the beast' (gari analotumia rais wa Marekani) lina mwendo wa kinyonga.

Tanzania tunatakiwa kutumia akili zaidi na sio nguvu. Kinachotakiwa ni gari lenye kuhimili potential threats i.e bullet, bombs etc. Mwendo kasi ni utashi wa kijima na kamwe hauwezi kumueweka salama rais.

Jambo jingine, pamoja na nia nzuri ya rais kutembelea miradi jijini Dar es Salaam, lakini nilidhani team nzima ya Ikulu wangetafakari tena umuhimu wa rais kukatiza mitaani siku za kazi huku wakitambua adha ya foleni.

Walitakiwa wafirikie hasara na usumbufu utokanao na msafara wa rais -siku ya kazi- kwenye jiji la biashara, jiji ambalo foleni inagharimu uchumi. Wachumi wanaweza kufanya mahesabu ya hasara inayoweza kuletwa na misafara ya viongozi.

Ni kwanini - kama kweli rais alitakiwa kutembelea jiji - asifanye hivyo siku za weekend? Kuna ulazima gani wa kufanya ziara given halisi ya Dar es Salaam siku za kazi? Misafara ni kero sana hapa jijini na kama kuna namna ya kuipunguza (i.e kufanya ziara weekend) basi wafanye hivyo.
 
Kiusalama zaidi hii ni moja ya mbinu za kujikinga na wadunguaji ma snipers inakuwa ni kazi sana kwa sniper kuiweka target ya object inayo move km 80/h... kuliko kuwa chini ya hapo...
Je zile BMW za kikwete si bullet proof...?
 
Back
Top Bottom