meidimu sirkon
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 202
- 37
msafara wa viongozi wa juu wako juu ya sheria ya nchi wako radhi wafe raia kumi elfu ili kufanikisha jukumu lao
Je zile BMW za kikwete si bullet proof...?
Hakuna haja huko ni kulewa sifa tu. Sasa wanamkimbiza utadhani wanamuwahisha hospitali wanamwogopa nani? Kama anaharaka si apande helkopita? Kwanza kwa nchi kama yetu msafara wake unapaswa uwe na magari matatu tu moja mbele la walinzi, katikati yeye kibosile na mwisho tena gari la askari. Mbele kabla ya magari kunatangulia pikipiki ya kufagia njia. Lakini kwa ujinga wetu mtu anaenda mahali pasipozidi km 1 anakuwa na msafara wa magari 40. Mimi naweza kusema hata huyo askari aliyekufa kifo chake kimesababishwa na msafara wa rais!Wanajamvi kwa kuwa jf ni sehemu ya kubadilishana ujuzi/elimu naomba kuhabarishwa umuhimu wa gari za msafara wa raisi na viongozi wengine kwenda kasi hasa maeneo yenye miji mikubwa kam dsm. Nauliza hivyo kwa sababu kila siku wadau wa usimamiziwa usalama barabarani wamekuwa wakisisitiza umuhimu wa kwenda mwendo wa taratibu ili kupunguza uwezekano wa kutokea ajali. nina imani kama msafara wa raisi usingekuwa na spidi yule trafic asingegongwa au hata akigongwa labda asingepoteza maisha
Wanamkimbiza utadhani ni mja mzito anawahishwa hospitali kujifungua?Hakuna umuhimu wa kwenda kasi. Ni kutaka sifa tu!
Sifa za kijinga! Msafara wa Nyerere ulikuwa unakwenda mdogo mdogo. Huyu wanamkimbiza utadhani jambazi au mwanamke anayekwenda kujifungua?Hakuna umuhimu wa kwenda kasi. Ni kutaka sifa tu!
Ni uoga tu wa viongozi wetu..kutokana na matendo yao mabaya..siku ikipata
ajali nadhani watakufa sana. Nakumbuka ilitokeaga ajali ya polis waliokuwa mbele kwenye msafara wa makamu wa Rais Gharib Bilal kule tanga.. hawakusimama kamwe! waliendelea na safari.. Askari wa tatu walikufa pale pale.. nikasema kweli viongozi wetu hawana utu..
Unataka msafara uende taratibu ili mmpopoe kwa mawe???
Ni Bullet proof ofcourse lakini wataalamu wa mambo ya usalama (simple physics) wanasema pamoja na bullet proof material, risasi inayogonga at 90 degrees inaweza kuwa na impact kubwa ukilinganisha na any other entry angle. Gari likiwa katika kasi ile si rahisi kwa snipper kurenga at 90 na hivyo kupunguza zaidi damage ambayo ingefanywa na say, a very poweful bullet.Je zile BMW za kikwete si bullet proof...?
Kama kweli mwendo kasi ungekuwa ni mbinu nzuri ya usalama basi msafara za rais wa Marekani ungekuwa unakwenda kwa kasi ya ajabu! Lakini kwa waliowahi kuhuhudia 'the beast' (gari analotumia rais wa Marekani) lina mwendo wa kinyonga.
Tanzania tunatakiwa kutumia akili zaidi na sio nguvu. Kinachotakiwa ni gari lenye kuhimili potential threats i.e bullet, bombs etc. Mwendo kasi ni utashi wa kijima na kamwe hauwezi kumueweka salama rais.
Jambo jingine, pamoja na nia nzuri ya rais kutembelea miradi jijini Dar es Salaam, lakini nilidhani team nzima ya Ikulu wangetafakari tena umuhimu wa rais kukatiza mitaani siku za kazi huku wakitambua adha ya foleni.
Walitakiwa wafirikie hasara na usumbufu utokanao na msafara wa rais -siku ya kazi- kwenye jiji la biashara, jiji ambalo foleni inagharimu uchumi. Wachumi wanaweza kufanya mahesabu ya hasara inayoweza kuletwa na misafara ya viongozi.
Ni kwanini - kama kweli rais alitakiwa kutembelea jiji - asifanye hivyo siku za weekend? Kuna ulazima gani wa kufanya ziara given halisi ya Dar es Salaam siku za kazi? Misafara ni kero sana hapa jijini na kama kuna namna ya kuipunguza (i.e kufanya ziara weekend) basi wafanye hivyo.
mimi sijui bana mambo mengine yanatia hasira, tukuchague kwa kura za wazi na kampeni kwenye mikutano ya wazi lakini leo hii unatukimbia barabarani kama upepo.
mimi sijui bana
Mkuu kawaida ni Ambulance na magari ya Zimamoto ambayo yanatakiwa kwenda kwa speed hiyo isiyoya kawaida na si gari la kingozi, kwani anakimbilia wapi, kupanda ndege kachelewa? kama anaenda eneo la tukio, tayari watu wanajua atakuja, na kama anarudi Ikulu, akishafika pale ile speed ilikuwa na maana gani ama kuna kitu gani anakimbilia kukiwahi kule Ikulu? Nenda popote duniani katika sheria za barabarani utakapokuta kuna sheria ya aina hiyo, labda ni Tanzania tu.Kwanza ni usalama pili kupunguza foreni maana akienda mwendo wa kinyonga foren yake hamiwez kudumu mtakua mnapigakelele tena aongeze mwendo tupunguze lawama.afu kingne niliona kuna mwanajamvi alipost jana kua ni gari ambayo ilichomekea foreni so msilaumu sana... ni karibia nchi zote zinafanya hivyo. huyo alosema mbona Obama afanyi hivo ikumbukwe raisi wa marekani na nchi zilizoendelea wana njia zao spesho so hawawez sababisha foreni kama kwetu.
Mkuu kawaida ni Ambulance na magari ya Zimamoto ambayo yanatakiwa kwenda kwa speed hiyo isiyoya kawaida na si gari la kingozi, kwani anakimbilia wapi, kupanda ndege kachelewa? kama anaenda eneo la tukio, tayari watu wanajua atakuja, na kama anarudi Ikulu, akishafika pale ile speed ilikuwa na maana gani ama kuna kitu gani anakimbilia kukiwahi kule Ikulu? Nenda popote duniani katika sheria za barabarani utakapokuta kuna sheria ya aina hiyo, labda ni Tanzania tu.
Hakuna umuhimu wa kwenda kasi. Ni kutaka sifa tu!