Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Jana wanazuoni wa Uhazili Tabora walijikuta wakisweka lupango kwa muda wa masaa kadha wa kadha baada ya kinachosadikiwa kumwonyesha alama ya "V" Mama Salma alama ambayo inatumiwa kukinadi Chadema..........
Hata hivyo polisi walidai mabinti hao wasomi waliingilia msafara wa mama Salma lakini hilo lisingewezekana kwa sababu wasomi hao walikuwa wakitembea kwa miguu baada ya kupaki magari yao kule Azimio Makumbusho...
Baadhi ya mapolisi walidai kichinichini kuwa wamepata tetesi ya kuwa wakina dada hao wameletwa na Chadema waje kupiga kura haramu wakati siyo majimbo yao.....
Iliwachukua masaa kadha wa kadha kwa walimu wao na wasamaria wema kuishawishi polisi hapa Arusha kuwaachia wasomi hao waendelee na shughuli zao.......
Hata hivyo polisi walidai mabinti hao wasomi waliingilia msafara wa mama Salma lakini hilo lisingewezekana kwa sababu wasomi hao walikuwa wakitembea kwa miguu baada ya kupaki magari yao kule Azimio Makumbusho...
Baadhi ya mapolisi walidai kichinichini kuwa wamepata tetesi ya kuwa wakina dada hao wameletwa na Chadema waje kupiga kura haramu wakati siyo majimbo yao.....
Iliwachukua masaa kadha wa kadha kwa walimu wao na wasamaria wema kuishawishi polisi hapa Arusha kuwaachia wasomi hao waendelee na shughuli zao.......