Msafara wa Makonda wapata ajali

Msafara wa Makonda wapata ajali

Kwanini gari za serekali STL zinatumika kwa matumizi ya chama? Sasa si hasara kwa serekali hii hela ya mlipa kodi ndo inatumika hivi?

Na suala la misafara yake kutumia 2 Lane nalo liangaliwe yeye siyo kiingozi wa kiserekali atumie 1 Lane ili watumiaji wa barabara wengine nao wapate nafasai ya kuendelea na shughuli zao na siyo kusimamishwa pembeni zaidi ya dakika 30 hadi apite yeye
Ngoja tuone kama signal ya wana wa Kusini haijasomeka na sisi wa Kanda ya Ziwa tunajipanga halafu tunapiga kolabo na hawa wana wa Kusini hadi kieleweke
 
Kwanini gari za serekali STL zinatumika kwa matumizi ya chama? Sasa si hasara kwa serekali hii hela ya mlipa kodi ndo inatumika hivi?

Na suala la misafara yake kutumia 2 Lane nalo liangaliwe yeye siyo kiingozi wa kiserekali atumie 1 Lane ili watumiaji wa barabara wengine nao wapate nafasai ya kuendelea na shughuli zao na siyo kusimamishwa pembeni zaidi ya dakika 30 hadi apite yeye
Sawa kabisa umesema Vyema, eti Katibu Tawala Mkoa yumo kwenye msafara WA kiongozi WA chama
 
Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.

Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.

======
Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.

Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.

View attachment 2900908
Ajali inamhusu Katibu mwenezi wa cha cha siasa! Halafu cha kusikitisha magari yaliyopata ajali yana namba za serikali!! Hii nchi ina ujinga mwingi sana.

Watu wanalipa kodi kwa shida, halafu kodi hizo hizo wanazichezea kwenye mambo ya kipuuzi. Sitashangaa kuona watu wakifurahia hiyo ajali, na hata kuwaombea mabaya wahusika.
 
Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.

Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.

======
Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.

Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.

View attachment 2900908
Kiki tu. Kaona Msiba wa Lowassa una make headlines.
 
Ajali inamhusu Katibu mwenezi wa cha cha siasa! Halafu cha kusikitisha magari yaliyopata ajali yana namba za serikali!! Hii nchi ina ujinga mwingi sana.

Watu wanalipa kodi kwa shida, halafu kodi hizo hizo wanazichezea kwenye mambo ya kipuuzi. Sitashangaa kuona watu wakifurahia hiyo ajali, na hata kuwaombea mabaya wahusika.
Kwahiyo hapo ulitaka usikie, waloumia ni Mwenyekiti wa CCM, katibu wa CCm, na viongozi wa CCM??.

Wee hujaona kua na Katibu Tawala Mkoa ' RAS ' kajeruhiwa? Ulitaka katibu tawala Mkoa, atumie usafiri wa Chama???.
 
Back
Top Bottom