Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,425
- 725
Makamu wa Rais Dk.Mohammed Bilal amepita muda si mrefu eneo la Mwanjelwa jijini Mbeya akiwa na msafara wake wenye magari kadhaa.
Kilichoshitua watu wengi ni ile kasi ya mbio za mwenge waliyopita nayo bila kujali kwamba wananchi walijipanga kwa wingi barabarani ili waweze kumsalimia kiongozi wao japo kwa kumpungia mkono.
Kasi waliyopita nayo ilipelekea wananchi kadhaa walikuwa katika vikundivikundi wabakiwakijiluiza kulikoni? Wengine walikwenda mbali zaidi na kudai "ameshauriwa na viongozi wa CCM kwamba eneo hilo ni hatari hivyo wapite kwa spidi kali kama vile wanakimbiza mwenge kwa hofu ya kupopolewa?"
Kilichoshitua watu wengi ni ile kasi ya mbio za mwenge waliyopita nayo bila kujali kwamba wananchi walijipanga kwa wingi barabarani ili waweze kumsalimia kiongozi wao japo kwa kumpungia mkono.
Kasi waliyopita nayo ilipelekea wananchi kadhaa walikuwa katika vikundivikundi wabakiwakijiluiza kulikoni? Wengine walikwenda mbali zaidi na kudai "ameshauriwa na viongozi wa CCM kwamba eneo hilo ni hatari hivyo wapite kwa spidi kali kama vile wanakimbiza mwenge kwa hofu ya kupopolewa?"