Msafara wa Makamu wa Rais Mbeya....

Msafara wa Makamu wa Rais Mbeya....

Wanatakiwa wasome alama za nyakati
 
I wish Dar na Moro zingekua kama Mbeya,huko kuna watu wanaojielewa,hawataki kushikiwa akili

Ni kweli siasa za wakati huu zinachangamoto sana.Mageuzi ya Waarabu Kaskazini mwa Afrika yanaweza kufika huku taaratibu.
 
Mbeya badilikeni ama viongozi wetu mtakuwa mnawaona wakipita kama wanakimbiza mwenge wa Uhuru au mtawaonea kwenye TVs.
 
Amekosea sana aisee...angesimama japo kwa saa 1 hivi akawapa neno kidogo wananchi wake...sasa sijui alikuwa na haraka gani...

Asimame japo lisaa wakati anajua dhahiri hakubaliki yeye pamoja na chama chake
 
Ni ishara mbaya sana kwa wananchi. Kiongozi mzuri ni rafiki wa wananchi na kiongozi mbovu ni adui kwa wananchi. Viongozi wengi wa serikali ni maadau zetu zamani tulikuwa tunawaogopa kwa sasa wanatuogopa.

Ha ha hii evolution ni mbaya sana
 
Mkuu tbc ni jumuia ya chama hiyo ulikua haujui ilo!angalau itv kidogo uwa hawaegemei upande wowote

ITV huwa mara nyingi hawaripoti hiziara za hawa jamaa
 
2015 wawe wanapita kwa mwendo kasi kama hivyo
 
Wananchi ndiyo waajiri wa hawa watu...kama wanaona hawapendwi wanatakiwa wajiondoe madarakani mara moja.
 
acha uongo kaka..hamna mwananchi aliyekua anataka kusalimiana nae..wote walikua wanaonesha alama ya vdole viwili(CHADEMA)..wengne pale sido walishika kitambaa kikubwa waliprint maneno haya..
"RAIS WETU SUGU,MAKAMU SILINDE"..labda kama upo mbeya nyngine..
 
acha uongo kaka..hamna mwananchi aliyekua anataka kusalimiana nae..wote walikua wanaonesha alama ya vdole viwili(CHADEMA)..wengne pale sido walishika kitambaa kikubwa waliprint maneno haya..
"RAIS WETU SUGU,MAKAMU SILINDE"..labda kama upo mbeya nyngine..

Mkuu. Tuko pamoja...nmeipenda hiyo ya kitambaa...!
 
Mbeya badilikeni ama viongozi wetu mtakuwa mnawaona wakipita kama wanakimbiza mwenge wa Uhuru au mtawaonea kwenye TVs.

Mbeya kama Tunisia ya Tanzania. Yataanzia hapa, kwingine yatafuata:mageuzi!
 
Back
Top Bottom