Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,320
Wanaofahamu sheria naomba watusaidie...
Ni viongozi gani wa kitaifa wanatakiwa kusubiriwa kupita na watumiaji wengine wa barabara kustopishwa?
Karibu mkuu wa CCM ndugu Chongolo yupo mkoani Morogoro kwa ziara na mikutano. Leo jumapili tarehe 5/2/2023 asubuhi barabara zote za kuingia na kutoka mjini Morogoro zilifungwa kwa masaa matatu kupisha msafara wa Chongolo. Jioni pia zikafungwa kwa masaa mawili...
Naomba kuuliza wanaojua sheria... Je, katibu mkuu wa chama (tawala) ni miongoni mwa viongozi walioanishwa kisheria kwamba msafara wao ukipita inabidi watumiaji wengine wa barabara wasubirishwe?
Ni viongozi gani wa kitaifa wanatakiwa kusubiriwa kupita na watumiaji wengine wa barabara kustopishwa?
Karibu mkuu wa CCM ndugu Chongolo yupo mkoani Morogoro kwa ziara na mikutano. Leo jumapili tarehe 5/2/2023 asubuhi barabara zote za kuingia na kutoka mjini Morogoro zilifungwa kwa masaa matatu kupisha msafara wa Chongolo. Jioni pia zikafungwa kwa masaa mawili...
Naomba kuuliza wanaojua sheria... Je, katibu mkuu wa chama (tawala) ni miongoni mwa viongozi walioanishwa kisheria kwamba msafara wao ukipita inabidi watumiaji wengine wa barabara wasubirishwe?