Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,752
- 218,339
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Chongolo yuko Arusha Mjini akimwaga elimu kuhusu Mkataba kabambe wa kukodisha Bandari za Tanganyika Pekee , hili ni jambo zuri .
Lakini kama ilivyo desturi ya ccm wametumia kila nyenzo ya usafiri kuhakikisha watu wanasombwa ili kujaza uwanja , wakiwemo wanafunzi , sasa ngondo inakuja baada ya Mkutano kumalizika , wengi wanaosombwa kuletwa uwanjani hutelekezwa na kuachwa wasijue la kufanya .
Tunaishukuru Chadema Arusha ambayo mara kadhaa imekodi magari kuwarejesha waliotelekezwa na hasa wanafunzi na watoto .
Lakini kama ilivyo desturi ya ccm wametumia kila nyenzo ya usafiri kuhakikisha watu wanasombwa ili kujaza uwanja , wakiwemo wanafunzi , sasa ngondo inakuja baada ya Mkutano kumalizika , wengi wanaosombwa kuletwa uwanjani hutelekezwa na kuachwa wasijue la kufanya .
Tunaishukuru Chadema Arusha ambayo mara kadhaa imekodi magari kuwarejesha waliotelekezwa na hasa wanafunzi na watoto .