MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,159
- 5,400
Umuofia kwenu wapendwa.
Uwingi wa wasomi na wajuvi katika mambo ya siasa katika nchi yetu ni mkubwa kwa sasa kiasi kwamba unahitajika ustadi wa hali ya juu kwa kila jambo linalopangwa na taasisi yoyote.
Taasisi ya CCM kwa sasa na zamani ni pana sana. Imejaa watu wengi wa aina zote. Katibu mkuu huyu aliyetoa taarifa ya kujiuzulu mbele ya mwenyekiti wake kwa physically yake na saikolojia hana ubavu wa kujiuzulu kwa hiari yake vinginevyo ni mpango kamili ambao ccm wanaujua na wana lengo nao.
Hakuna jambo la bahati mbaya katika siasa ila viongozi wa CCM pevukeni zaidi katika kupanga mambo yenu jamii ya sasa ina maarifa na forecast kubwa inayoongezeka siku hadi siku.
Kila la kheri katibu mkuu mpya ajaye.
Uwingi wa wasomi na wajuvi katika mambo ya siasa katika nchi yetu ni mkubwa kwa sasa kiasi kwamba unahitajika ustadi wa hali ya juu kwa kila jambo linalopangwa na taasisi yoyote.
Taasisi ya CCM kwa sasa na zamani ni pana sana. Imejaa watu wengi wa aina zote. Katibu mkuu huyu aliyetoa taarifa ya kujiuzulu mbele ya mwenyekiti wake kwa physically yake na saikolojia hana ubavu wa kujiuzulu kwa hiari yake vinginevyo ni mpango kamili ambao ccm wanaujua na wana lengo nao.
Hakuna jambo la bahati mbaya katika siasa ila viongozi wa CCM pevukeni zaidi katika kupanga mambo yenu jamii ya sasa ina maarifa na forecast kubwa inayoongezeka siku hadi siku.
Kila la kheri katibu mkuu mpya ajaye.