Msada wakisheria kuhusu makato yamshahara

Yayo

Member
Aug 7, 2012
15
1
Mimi nimwajiriwa katika kampuni mojakubwa hapatanzani iliyoko arusha tatizolinakuja kwenye kukatwa mshahara kwakiwango kikubwa sana kulinga nisha na mshahara unakata masaa kwakiwango malipo ya over time jenisawa.
 
Mimi nimwajiriwa katika kampuni mojakubwa hapatanzani iliyoko arusha tatizolinakuja kwenye kukatwa mshahara kwakiwango kikubwa sana kulinga nisha na mshahara unakata masaa kwakiwango malipo ya over time jenisawa.

Mh! Hp weka vizuri mada yako au ni PM nitakusaidia. Makato ya kodi ktk mshahara ukimaanisha paye na sdl??
Manake unaposema kukatwa mshahara inanivuruga!
 
Mimi nimwajiriwa katika kampuni mojakubwa hapatanzani iliyoko arusha tatizolinakuja kwenye kukatwa mshahara kwakiwango kikubwa sana kulinga nisha na mshahara unakata masaa kwakiwango malipo ya over time jenisawa.

take home=(gross salary -((vat12-14%)-(nssf10%))+over time

sasa wewe unapunjwa nn/ au unakatwa nini?
 
take home=(gross salary -((vat12-14%)-(nssf10%))+over time

sasa wewe unapunjwa nn/ au unakatwa nini?
Mkuu hata hiyo overtime inakatwa kodi. Ndio Pay As You Earn (PAYE) hiyo.Maana yake kila ukipatacho kwenye mshahara wako lazima kilimwe kodi.

Zamani kulikuwa na Income Tax ambapo makato yalikuwa kwenye Basic Salary tu. Allowance nyingine zilikuwa hazikatwi kodi. Sasa ikaonekana watu wana Basic Salary ndogo lakini ma-allowance kibao ambayo yanazidi mshahara. Ndo ikaletwa hiyo sheria ya PAYE ili kuwabana wafanyakazi.
 
Mkuu hata hiyo overtime inakatwa kodi. Ndio Pay As You Earn (PAYE) hiyo.Maana yake kila ukipatacho kwenye mshahara wako lazima kilimwe kodi.

Zamani kulikuwa na Income Tax ambapo makato yalikuwa kwenye Basic Salary tu. Allowance nyingine zilikuwa hazikatwi kodi. Sasa ikaonekana watu wana Basic Salary ndogo lakini ma-allowance kibao ambayo yanazidi mshahara. Ndo ikaletwa hiyo sheria ya PAYE ili kuwabana wafanyakazi.

kweli mkuu o/t lazima wakulime kodi but nssf awakaiti. hii issue inategemea na kampuni baazi ya kampuni awaingizi o/t katika basic salary so unalipwa kama ilivyo.

mkuu we ongea na mwasibu wenu atakusaidia iyo o/t yako mwambie asingize kwenye basic salary yako mpe mawati kuwa maisha sasa magumu. kila la kheri mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom