msaada!

msaada!

angomwile

Senior Member
Joined
Sep 10, 2011
Posts
153
Reaction score
81
Hivi ikitokea umebanwa na kujamba halafu mbele ya watu wa heshima utafanyaje?
 
Hivi ikitokea umebanwa na kujamba halafu mbele ya watu wa heshima utafanyaje?
Tuache maswala ya kitoto, hivi kujamba mwalimu wako wa biology amekufundishaje ni tendo ambalo ni conditional au unconditional?
 
Hahahaha! Ngoja nicheke vya mwisho mwisho.
 
kwani una mpango wa ku-rest in peace?
mtoa mada, unaunganishia na kikohozi cha kidhushi

hahahaha! Mkwe umenichekesha kuunganisha na kikohozi. Lol. Kuna siku mtu mzima alijamba nikawa najikaza nisicheke, yule mtu akaniambia we cheka tu usiogope.
 
Dah we kweli angomwile mishuzi! Nyambaf!!
 
We unajamba tu ulafu unasema sory ambo yanaenda kama kawaida
 
haha.unajamba alafu unasema "kujamba ni kupumua.kujamba ni kusafisha tumbo".
 
sredi zingine zinakataga stimu kweli yani, yakikukuta ndo utapata akili ufanyeje
 
hahahaha! Mkwe umenichekesha kuunganisha na kikohozi. Lol. Kuna siku mtu mzima alijamba nikawa najikaza nisicheke, yule mtu akaniambia we cheka tu usiogope.

We sasa ndo umeniliza, akakwambia ucheke tu ili uongeze days of living teh teh,
 
Kunashairi moja linasema

"Watoto msishangae, kujamba ni kupumua.
Upepo ukishapita, ushuzi unapungua.."
 
kama upo sebureni unaongeza sauti ya redio kisha unaachia, ukimaliza unapunguza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom