JABASmartSolutions
Member
- Jan 24, 2013
- 71
- 33
Nko ifm mkuuBado hujawekewa % itakuja chuoni we umepata chuo gani?
Ok asante kwa msaadaMimi mwenyewe nimewekewa hivyo but nmeuliza wamesema nimepata mkopo nisubiri jina na asilimia chuoni.
Mm mwenyewe nimepangiwa ifm,ina maana na ifm teyari wametoa majinaNko ifm mkuu
Bado sijafanya registration ila jtatu ntakwenda chuo kuchek nn kinahappenUlishamaliza kufanya registration
Unaangalia betr yang au unatoa msaadaMbona naona una 96%.. soon hiyo battery itafika 50%. [emoji63] [emoji63] [emoji63] [emoji63]
Kwasababu umeuliza asilimia..najua ni za mkopo lkn ktk picha yako hakuna sehemu ujayoweza kupata hizo asilimia. Nikajua basi unsuliza asilimia za battery level. Kama kweli upo serious...ktk hiyo screenshot yako nani anayeweza kupata asilimia zingine tofauti na battery level?Unaangalia betr yang au unatoa msaada
Mm mwenyewe bado nasikilizia,maana milioni 1 na 50 ndefuBado sijafanya registration ila jtatu ntakwenda chuo kuchek nn kinahappen
Mkuu nashukuru kwa kuniongezea siku za kuishi maana nimecheka mno mpaka wapangaji wenzangu wameamkaKwasababu umeuliza asilimia..najua ni za mkopo lkn ktk picha yako hakuna sehemu ujayoweza kupata hizo asilimia. Nikajua basi unsuliza asilimia za battery level. Kama kweli upo serious...ktk hiyo screenshot yako nani anayeweza kupata asilimia zingine tofauti na battery level?
Usiwaze kama ipo ipo tuMm mwenyewe bado nasikilizia,maana milioni 1 na 50 ndefu
Endelea kuangalia bettry percntgeKwasababu umeuliza asilimia..najua ni za mkopo lkn ktk picha yako hakuna sehemu ujayoweza kupata hizo asilimia. Nikajua basi unsuliza asilimia za battery level. Kama kweli upo serious...ktk hiyo screenshot yako nani anayeweza kupata asilimia zingine tofauti na battery level?
Pimbi kwel we, wenzako na serious issue afu unaleta hbr za utani n wkt jukwaa la utani lipo•:'(Unaangalia betr yang au unatoa msaada