Msaada wenu wa mawazo tafadhali, Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda

Duh, kazi unayo, ila mbona marahisi hayo, msomeshe mume muhamie kwenu...
Hapa anapaona kwake kwasababu nyumba amejenga yeye lakini tunaishi na familia yake yote hata madada walioolewa wamo ndani na waume zao.
 
Kwani hiyo nyumba kaijenga kwenye kiwanja chake au kajenga kwenye kiwanja cha wazazi wake?Kama kajenga kwenye kiwanja cha wazazi wake maana yake kawajengea hao wazazi yeye aangalie ustarabu mwingine.Kuishi nyumba moja na wazazi wakati tayari umeishaoa ni kumnyina Uhuru mwenza wako maana hawezi kufanya maamuzi badala yake mama mkwe ndo anampangia.Na Mwanaume atamsikiliza mama yake kila kitu kwakuhofia ataonekana amekaliwa na mke wake.Katika hali hii ndoa itakua yenye masikitiko na majuto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikutana na mume wangu wote tukiwa 30+. Nilishakuwa na kwangu tofauti yangu na mwenzangu yeye anaishi kwao ingawa yeye ndiye alijenga nyumba.

Kama mwanaume aliyeoa anataka niishi kwao. Hataki kuingilia vitu alivyonikuta navyo. Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda, ninatamani tununue kiwanja tujenge nyumba ya pamoja lakini mwenzangu haoni umuhimu huo.
Shida nini, ya kuhitaji kusaidiwa?
 
Nilikutana na mume wangu wote tukiwa 30+. Nilishakuwa na kwangu tofauti yangu na mwenzangu yeye anaishi kwao ingawa yeye ndiye alijenga nyumba.

Kama mwanaume aliyeoa anataka niishi kwao. Hataki kuingilia vitu alivyonikuta navyo. Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda, ninatamani tununue kiwanja tujenge nyumba ya pamoja lakini mwenzangu haoni umuhimu huo.
Achana nae njoo Kwangu, yote utakayo nitafanya ata ukitaka twende kuishi US tutaenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi wamearibiwa ndoto zao kutokana na kutompata mtu sahihi wa maisha yao.Inawezekana wewe unaona mbali,ila mwenzako akawa anaona karibu.Endelea kumshawishi,mwanamke ana nguvu kubwa ya kushawishi
 
Hujaelewa,jamaa anaishi home,siyo ukweni,hili naweza kulitetea tena sana tu,kuna dogo mmoja hapa jirani ni rafiki yangu sana,yeye ni mchaga na ndiye mtoto wa mwisho kwao,baba yake alisha Rip! Sasa kwa mila za kwao yeye ndiye anayerithi boma,mama yake ni mzee wa kadiri, mama yake bado anafanya mishe zake ndogondogo kiaina ila cha kumshukuru Mungu mama huyo anajimudu kiasi chake,ana nyumba za kupangisha na vibiashara vingine vidogo vidogo vinavyomhudumia vyema, anampenda sana huyu dogo na way back alikuwa anamlazimisha sana huyu dogo aoe, kipindi hicho dogo amemaliza shule na ana kazi flani tu nzuri,amejenga nyumba yake ndogo namakorokoro mengine anayo,mama yake akawa ananisumbua ili nimshawishi dogo avute jiko,mama anasema kama dogo anaogopa expenses za ndoa basi ata front yeye, sasa dogo ana mke,mzuri,msomi ila much know sana!! Anamwambia dogo ahame hapo kwao wakapange sijui wapi ili wawe huru!!! Mama ana pambana kufa na kupona ili kuona mwanae anaishi maisha flani fresh, nimempa hint huyo dogo!!!! Ukikubaliana na ushauri wa mke wako utakuwa umekojolea ramani mazima!! Mama anamtegemea dogo na dogo anamtegemea mama,japo si kwa kunyonyana! Huyo dogo akiondoka hapo kwao kwa hisia tu za mkewe nitamwona mpumbavu haswaa!! Labda plan nyingine zimlazimu ila si kwa shinikizo la mke.
Huyo jamaa anayumba huwezi ishi na mke ukweni

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujaelewa,jamaa anaishi home,siyo ukweni,hili naweza kulitetea tena sana tu,kuna dogo mmoja hapa jirani ni rafiki yangu sana,yeye ni mchaga na ndiye mtoto wa mwisho kwao,baba yake alisha Rip! Sasa kwa mila za kwao yeye ndiye anayerithi boma,mama yake ni mzee wa kadiri, mama yake bado anafanya mishe zake ndogondogo kiaina ila cha kumshukuru Mungu mama huyo anajimudu kiasi chake,ana nyumba za kupangisha na vibiashara vingine vidogo vidogo vinavyomhudumia vyema, anampenda sana huyu dogo na way back alikuwa anamlazimisha sana huyu dogo aoe, kipindi hicho dogo amemaliza shule na ana kazi flani tu nzuri,amejenga nyumba yake ndogo namakorokoro mengine anayo,mama yake akawa ananisumbua ili nimshawishi dogo avute jiko,mama anasema kama dogo anaogopa expenses za ndoa basi ata front yeye, sasa dogo ana mke,mzuri,msomi ila much know sana!! Anamwambia dogo ahame hapo kwao wakapange sijui wapi ili wawe huru!!! Mama ana pambana kufa na kupona ili kuona mwanae anaishi maisha flani fresh, nimempa hint huyo dogo!!!! Ukikubaliana na ushauri wa mke wako utakuwa umekojolea ramani mazima!! Mama anamtegemea dogo na dogo anamtegemea mama,japo si kwa kunyonyana! Huyo dogo akiondoka hapo kwao kwa hisia tu za mkewe nitamwona mpumbavu haswaa!! Labda plan nyingine zimlazimu ila si kwa shinikizo la mke.
Huyo jamaa anayumba huwezi ishi na mke ukweni

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikutana na mume wangu wote tukiwa 30+. Nilishakuwa na kwangu tofauti yangu na mwenzangu yeye anaishi kwao ingawa yeye ndiye alijenga nyumba.

Kama mwanaume aliyeoa anataka niishi kwao. Hataki kuingilia vitu alivyonikuta navyo. Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda, ninatamani tununue kiwanja tujenge nyumba ya pamoja lakini mwenzangu haoni umuhimu huo.
Naomba nikupe pole kwa yanakukuta, hili ni tatizo la mwanamke kuolewa na mtoto wa mama.
Kama amejenga nyumba ili wazazi wake waishi hapo, yeye ingekuwa busara angeenda kupanga na kuanza maisha mapya na mkewe ili wawe huru na kufurahia ndoa yenu.
Mimi japo nilijenga nyumba kwa ajili ya wazazi wangu na nilikuwa naishi nao, ila nilivyotaka kuoa, nilienda kupanga nyumba upande mzima.
Ila now nami nipo kwangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom