Msaada wenu wa mawazo tafadhali, Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda

Ahahaha pole sana mwaya hata hvyo una moyo Mimi nisingeweza aise nshazoea nikiumwa nideke kwa bby anifulie hadi nguo na kunipikia sasa hapo akifanya tu hivyo wakimuona utaambiwa umemloga wakati anafanya kwa mapenzi
Hapa anapaona kwake kwasababu nyumba amejenga yeye lakini tunaishi na familia yake yote hata madada walioolewa wamo ndani na waume zao.
 
Back
Top Bottom