cerengeti
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,878
- 1,622
Huyu mumeo Ni mtoto Wa ngapi katika familia yao?Ni mpambanaji sana tu ila maisha kwake awe na baba, mama na ndugu wake wa kuzaliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mumeo Ni mtoto Wa ngapi katika familia yao?Ni mpambanaji sana tu ila maisha kwake awe na baba, mama na ndugu wake wa kuzaliwa
Na sio kumkumbuka tu anakuja anakuuliza kinafki eti eeh iki umenunua sh ngapi, unajiuliza asa anataka kunirudishia pesa nlotumia ama?😂😂😂 ukinunua kitenge kwa Esma umkumbuke na mama mkwe na mawifi na wanaangaliana mwisho unaona bora uache.
This is one of the solutionDawa ndogo, ikifika usiku jiachie kwa mumeo, piga kelele za masononeko na maneno matamu matamu, watawafukuza wenyewe au watakimbia wao, utanishukuru baadae
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hojaNaona kama unatania Sky Eclat
au ni case study uliiona mahala ila sio wewe
apige mayowe hadi baba mkwe na mama mkwe wake waingie kishawishi cha kula na kuliwa kimasihara,,, 🏃🏃🏃Dawa ndogo, ikifika usiku jiachie kwa mumeo, piga kelele za masononeko na maneno matamu matamu, watawafukuza wenyewe au watakimbia wao, utanishukuru baadae
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umechoka kuishi kwa wakwe badala ya kuishi kwako nashauri wakati mnaandaa mikakati ya kujenga nyumba yenu mpange nyumba muishi maisha ya kujitegemea!!Nilikutana na mume wangu wote tukiwa 30+. Nilishakuwa na kwangu tofauti yangu na mwenzangu yeye anaishi kwao ingawa yeye ndiye alijenga nyumba.
Kama mwanaume aliyeoa anataka niishi kwao. Hataki kuingilia vitu alivyonikuta navyo. Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda, ninatamani tununue kiwanja tujenge nyumba ya pamoja lakini mwenzangu haoni umuhimu huo.
Nilikutana na mume wangu wote tukiwa 30+. Nilishakuwa na kwangu tofauti yangu na mwenzangu yeye anaishi kwao ingawa yeye ndiye alijenga nyumba.
Kama mwanaume aliyeoa anataka niishi kwao. Hataki kuingilia vitu alivyonikuta navyo. Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda, ninatamani tununue kiwanja tujenge nyumba ya pamoja lakini mwenzangu haoni umuhimu huo.
Dah, ushauri huu umeenda shule. Hapo mgeni ni huyo mama mkwe sio wewe. Yeye ndio arudi kwake. Mfanyie vituko hadi akimbie teh teh tehaina ya wanawake wa namna yako ni vigumu kudumu kwenye ndoa. Wewe ni sehemu ya familia ya mumeo, na kama nyumba ni yake wewe ndio mama mwenye nyumba. Zaa watoto wa kutosha usimike utawala wako. Nyumba si nyumba kama sio familia, weka watoto watano uone utakavojinafasi. Ila mpaka umekuja humu inaonekana wewe ni mbishi sana na unamuumiza jamaa kichwa. Maisha ni magumu sana sasa hivi, kama unacomfort zone usiiache kwasababu ya fantasies. Acha ubishi, muamini mumeo na angalia mazuri ya upande wa mumeo.
Nilikutana na mume wangu wote tukiwa 30+. Nilishakuwa na kwangu tofauti yangu na mwenzangu yeye anaishi kwao ingawa yeye ndiye alijenga nyumba.
Kama mwanaume aliyeoa anataka niishi kwao. Hataki kuingilia vitu alivyonikuta navyo. Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda, ninatamani tununue kiwanja tujenge nyumba ya pamoja lakini mwenzangu haoni umuhimu huo.