Msaada wapi nitapata hii kitu Dar.

Msaada wapi nitapata hii kitu Dar.

IQRA90

Member
Joined
Nov 29, 2016
Posts
18
Reaction score
39
1480519952523.jpg
1480519957686.jpg
1480519966043.jpg
1480519971653.jpg
 
Haka katekinolojia hapa kwetu sijui kama kameshafika, ila ukiwa mjanja sna tembelea watalamu wa welding wakuunganishie mabati na wewe utafte chesisi la Peugeot ndio uingie nacho mtaani na bidhaa zako.
 
Haka katekinolojia hapa kwetu sijui kama kameshafika, ila ukiwa mjanja sna tembelea watalamu wa welding wakuunganishie mabati na wewe utafte chesisi la Peugeot ndio uingie nacho mtaani na bidhaa zako.
unakautaalamu ka engineering braza.
 
Brother augustleo na ww unawazo Kama hilo nini?
 
kuna watu wanajiita autoguru waone wakutengenezeewako kinondoni ni garage ya magari na wanafanya welding
 
Mkuu mm pia naitaka wazo langu ni kununua Suzuki Carry then kutengenezea hiyo box IQRA90
images (3).jpg
 

Attachments

  • images (3).jpg
    images (3).jpg
    6.9 KB · Views: 50
Mm sijaona hapa dar labda kama uende wakatengeneze
 
Nenda udsm pale engineering upande wa workshops,hasa workshop ya mechanical kuna vizee vizoefu vitadesign na kukujengea...price itakua cheap tu
Ha ha ha watu wamepigwa kule acha, bongo hii usanii mwingi no one is faithful kuna mada humu ya jamaa kupigwa mashine kule COET
 
49a0aa95a3c143137370571f421e9f30.jpg
jaribu kuwasiliana na huyu mkuu kama kaweza kuikopi hii ya Azam hiyo kwake jambo dogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom