Zinapatikqna sehemu nyingi kwa dar hii,ukikosa huko njoo kinondoni studio zipo nyingiHabari,
Nahitaji machine ya kukunia nazi kwa ajiri ya biashara ya genge,
Nipo dar ,mabibo
Naomba kujua wapi nitapata na Bei yake ,
Asante
Kwani gerezani wanakula wali nazi?Nenda gerezani utapata
Haaa haaa mkuu, namaanisha aende kariakoo kule gerezani wanapotengeneza metal work atapata.Kwani gerezani wanakula wali nazi?