Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,045
- 15,379
Sababu soko lake limeshafeli, Hakuna hela. Sema kwa ambao wapo sokoni bado kama Samsung, Apple na Amazon wanaweka specs kali kwa bei rahisi.
Mfano
-iPad mpya inakuja na A13 soc kwa bei ya $300, simu rahisi yenye A13 ni iPhone se inayouzwa $400. Pia base model ni 64/4Gb.
-amazon fire 10 HD inayouzwa hadi $80 ina full HD display, cortexA72 cores na mambo mengi ambayo huyapati kwenye simu.
-pia Tab S7 uki compare na S20 ama note 20 ni rahisi zaidi wakati zinakupa values kubwa.
hapo nimeelewa