Msaada wapendwa- bikra inanitesa

Msaada wapendwa- bikra inanitesa

Wenzio honey moon wanaenda kula raha wewe unaenda kuuguZa kidonda!!!!hebu mpe mwenzio atindue
 
!
!
maama!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!...miaka 26!????
Mungu wangu, itakuwa ishaziba tayari loh loh loh

aargghh!!!! hiki nacho eti kilisoma biology!!

vitoto vya mulugo bana!!

ujinga ujinga tu vimekalia!

toa ushauri sio unatema kohozi kwenye 5 star stage!

next time usiandike ujinga huu!

nyambafuuuu!!
 
Mimi naona huna shida ila huyo jamaa ana shida. Kutoa bikra hatubembelezani ila anakamatwa mtu anapewa fimbo ya musa na kuchana chana kila kitu, hii tunaita mechi ya ufunguzi huwa ni ngumu kidogo ila huko mbele ina manufaa....
 
hakuna raha yoyt kumtoa mwnamk bikira. usumbufu tu. wew kaa nayo tu. isitosh hujawah tu kusex lakin wew bikira haipo. ishadondokea chooni. hujapitishiwa kitu hiyo ndo shda yako.
 
Acheni hizo nyie! 26rys kuwa na bikira wapo sana, au ni kwa kuwa nyie mnakaa maisha ya kimjini mjini mnaharibu watoto wa watu kwa kuwahonga chips mayai. Njooni huku kijijini kwetu muone uumbaji wa Mungu, watoto wazuri hawajaguswa. Mimi mwenyewe nilimuoa wife akiwa na 27yrs na alikuwa sildi. Siku 7 analia maumivu ya kutolewa usichana wake.
 
Aisee!! Inawezekana kuwa Homoni zako haziko Active katika ulimwengu wa Mapenzi ukishakuwa katika zero distance utahamaki hiyo bikra haipo au jamaa mhemuko wake huanzia 0 kwenda 100 badala ya 100 kwenda 0

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
nenda kwa yule profesa ni mtalam sana wa hizo ki2 na kuwapa kirusi pole sana
 
Mmmh..!! Hzo comments zenu znamkatisha tamaa na kumuogopesha dada wa wa2.. Uckubal kusex dada uweke heshma cku ya ndoa yako.. Ni heshma sana hyo umejiwekea ucshawishike kabisa kuitoa hyo k2.
 
Wanaume akili zetu tunazijua wenyewe.. Unaweza ukagawa bikra yako hiyo na ukashangaa Ndoa hakunaga.. Kama umeamua kujitunza endelea na safari yako

hivi mkuu bado kuna mwanaume anayekubali kuingia kwenye ndoa kabla hajaona ndani???
 
Kama ni kweli hujawahi, wewe ni malkia wa huyo mtu atakaye kuoa. Sasa, kama huyu jamaa ni wa kweli na anakutaka kweli kweli. Mwambie akuheshimu mpaka ndoa yenu. Ila usiikawize saana kwani huyo si bikra hivyo ataweza kwenda hukoo halafu akajiletea gonjwa likamharibu. Mwambie umemwekea hiyo zawadi mpaka akuchukue.
Lakini kama ni ya mchina, utakoma sikutishii. Akija gundua kuwa weye ni kiwembe hakuna rangi hutaona. Atakudharau maisha yako yota.
Leo ukiivua chupi kwake kabla, harusi ni ndoto pia kwani kwake utakuwa mshamba hiyo ndo akili ya wanaume.
 
0717124466
piga hiyo namba nikupe maelekezo murua, UTAFURAHIA.
 
Njoo nikurenge kisha umperekee hiro shimo! Ndo nsaada wangu tu
 
Njoo nikurenge kisha umperekee hiro shimo! Ndo nsaada wangu tu
mkuu tulia acha papara tufuatane,,,,,,,,,, hapo blue ni nikulenge,,,,red ni umpelekee,,,,,,,kijani ni hilo na dhambarau ni msaada hapa kwa wakubwa hupawezi rudi facebook mwana wa mulugo
 
Back
Top Bottom