mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 8,058
- 3,755
kwa nini usiige mfano wa bikira maria
Point,nakuunga mkono 100% usikubali kusex before marriage,usipo sikiliza haya tunayokwambia
it will be a big mistake u have made in ur life
jamaa atafaidi kweli huo mnato
Hbarini za asubuhi wapendwa, hope mnawndelea vema na shughuli zenu za kila siku.
Back to topic,
Mimi ni msichana nina miaka 26, nina mchumba ambaye tupo kwnye process za ndoa ila tumekubaliana kufanya mapenz kabla ya ndoa.(The rule of shake well before use is applied)
Tatizo mimi ni bikra sijawahi kabisa kusex maisha yangu yote. Sasa naogopa kweli kufanya mapenzi, nakuwa na hofu sana hadi siku tukilala wote inakuwa ni vita kitandani. Tunapendana sana na hali hii ya kuogpa kusex inamkosesha raha na hataki kulazimisha anataka niwe huru.
Naombeni ushauri jamani nifanye nini niondokewe na huu woga maana nimekuwa nawaza tu nitaumia nikisex.
Naombeni msaada wa mawazo jamani, hii hali ni kawaida au nina tatizo?
Asanteni sana.
Kweli kabisa! Na hii itampa heshima kubwa katika ndoa.Na siku ya ndoa hakika woga huo utakwisha kwani kisaikolojia atkuwa tayari ameshajiridhisha kuwa anafanya kitu halali na kwa wakati sahihi!Kama kweli wewe ni bikra ya ukweli ( sio ya kichina),,,
USIKUBALI KUFANYA MAPENZI KABLA YA NDOA..
Yaani umevuka vishawishi vya teanage bila kumegwa,, hadi unafika 26 umejitunza then unashindwa kumalizia miaka michache iliyobaki ukamilishe rekodi yako ya kukatwa bikra usiku wa harusi yako..
Nasema rekodi sababu wewe ni mmoja katika wasichana laki 1 wenye bikra kwa umri wako wa 26.
MIMI MWENYEWE FISI LAKINI KWA MWANAMKE KAMA WEWE SIKUMEGI.. Na Nakupa salute zako kwa hilo na USIKUBALI narudia tena USIKUBALI na tena tena nakwambia USIKUBALI KUVUA CHUPI HADI USIKU WA NDOA..
Hiyo zawadi ya ushindi mwambie Sikamona utampa kwenye USiku wa ndoa yenu
mate yashakujaa apo..duh
Usiogope utazoea tuu, lakini unacho takiwa kujua lazima mwenza wako umpe haki yake.Hbarini za asubuhi wapendwa, hope mnawndelea vema na shughuli zenu za kila siku.
Back to topic,
Mimi ni msichana nina miaka 26, nina mchumba ambaye tupo kwnye process za ndoa ila tumekubaliana kufanya mapenz kabla ya ndoa.(The rule of shake well before use is applied)
Tatizo mimi ni bikra sijawahi kabisa kusex maisha yangu yote. Sasa naogopa kweli kufanya mapenzi, nakuwa na hofu sana hadi siku tukilala wote inakuwa ni vita kitandani. Tunapendana sana na hali hii ya kuogpa kusex inamkosesha raha na hataki kulazimisha anataka niwe huru.
Naombeni ushauri jamani nifanye nini niondokewe na huu woga maana nimekuwa nawaza tu nitaumia nikisex.
Naombeni msaada wa mawazo jamani, hii hali ni kawaida au nina tatizo?
Asanteni sana.
AiseeeeDaaaah.......! mamaaa.......!!! Papuchi original hiyo mpaka mate yanadondoka
Hbarini za asubuhi wapendwa, hope mnawndelea vema na shughuli zenu za kila siku.
Back to topic,
Mimi ni msichana nina miaka 26, nina mchumba ambaye tupo kwnye process za ndoa ila tumekubaliana kufanya mapenz kabla ya ndoa.(The rule of shake well before use is applied)
Asanteni sana.
Wenye bikra hawaongeibZzxHbarini za asubuhi wapendwa, hope mnawndelea vema na shughuli zenu za kila siku.
Back to topic,
Mimi ni msichana nina miaka 26, nina mchumba ambaye tupo kwnye process za ndoa ila tumekubaliana kufanya mapenz kabla ya ndoa.(The rule of shake well before use is applied)
Tatizo mimi ni bikra sijawahi kabisa kusex maisha yangu yote. Sasa naogopa kweli kufanya mapenzi, nakuwa na hofu sana hadi siku tukilala wote inakuwa ni vita kitandani. Tunapendana sana na hali hii ya kuogpa kusex inamkosesha raha na hataki kulazimisha anataka niwe huru.
Naombeni ushauri jamani nifanye nini niondokewe na huu woga maana nimekuwa nawaza tu nitaumia nikisex.
Naombeni msaada wa mawazo jamani, hii hali ni kawaida au nina tatizo?
Asanteni sana.
!
!
maama!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!...miaka 26!????
Mungu wangu, itakuwa ishaziba tayari loh loh loh
Kama kweli wewe ni bikra ya ukweli ( sio ya kichina),,,
USIKUBALI KUFANYA MAPENZI KABLA YA NDOA..
Yaani umevuka vishawishi vya teanage bila kumegwa,, hadi unafika 26 umejitunza then unashindwa kumalizia miaka michache iliyobaki ukamilishe rekodi yako ya kukatwa bikra usiku wa harusi yako..
Nasema rekodi sababu wewe ni mmoja katika wasichana laki 1 wenye bikra kwa umri wako wa 26.
MIMI MWENYEWE FISI LAKINI KWA MWANAMKE KAMA WEWE SIKUMEGI.. Na Nakupa salute zako kwa hilo na USIKUBALI narudia tena USIKUBALI na tena tena nakwambia USIKUBALI KUVUA CHUPI HADI USIKU WA NDOA..
Hiyo zawadi ya ushindi mwambie Sikamona utampa kwenye USiku wa ndoa yenu