Msaada wapendwa- bikra inanitesa

Msaada wapendwa- bikra inanitesa

Nakuambia akishakugonga hata uwe na bikira ujue ndoa inawezaota mbawa,mwambie atulizane
 
Wanaume akili zetu tunazijua wenyewe.. Unaweza ukagawa bikra yako hiyo na ukashangaa Ndoa hakunaga.. Kama umeamua kujitunza endelea na safari yako

kabisa kabisa akili zetu twazijua wenyewe, hatunaga tabia ya kufuga Ng'ombe kama uwezekano wa kupata nyama na maziwa upo..
 
Kama kweli wewe ni bikra ya ukweli ( sio ya kichina),,,

USIKUBALI KUFANYA MAPENZI KABLA YA NDOA..

Yaani umevuka vishawishi vya teanage bila kumegwa,, hadi unafika 26 umejitunza then unashindwa kumalizia miaka michache iliyobaki ukamilishe rekodi yako ya kukatwa bikra usiku wa harusi yako..

Nasema rekodi sababu wewe ni mmoja katika wasichana laki 1 wenye bikra kwa umri wako wa 26.

MIMI MWENYEWE FISI LAKINI KWA MWANAMKE KAMA WEWE SIKUMEGI.. Na Nakupa salute zako kwa hilo na USIKUBALI narudia tena USIKUBALI na tena tena nakwambia USIKUBALI KUVUA CHUPI HADI USIKU WA NDOA..

Hiyo zawadi ya ushindi mwambie Sikamona utampa kwenye USiku wa ndoa yenu

akifata ushauri wako itakua raha sana siku ya honeymoon jaman lol!
 
Umekuja kupima tension ya wapenda bikra
Ama uko kwenye promotion ?

Jaribu kuwa makini ili mambo yako yaende vzr
 
Hbarini za asubuhi wapendwa, hope mnawndelea vema na shughuli zenu za kila siku.

Back to topic,

Mimi ni msichana nina miaka 26, nina mchumba ambaye tupo kwnye process za ndoa ila tumekubaliana kufanya mapenz kabla ya ndoa.(The rule of shake well before use is applied)

Tatizo mimi ni bikra sijawahi kabisa kusex maisha yangu yote. Sasa naogopa kweli kufanya mapenzi, nakuwa na hofu sana hadi siku tukilala wote inakuwa ni vita kitandani. Tunapendana sana na hali hii ya kuogpa kusex inamkosesha raha na hataki kulazimisha anataka niwe huru.

Naombeni ushauri jamani nifanye nini niondokewe na huu woga maana nimekuwa nawaza tu nitaumia nikisex.

Naombeni msaada wa mawazo jamani, hii hali ni kawaida au nina tatizo?

Asanteni sana.
..Ww kweli mpuuzi akiliyako inakufanya uiyone zinaa nijambo dogo na lakwaida sana mpaka unataka ushauri kutoka kwa watu usio wajua. Ivi ww huna dini au dini yako haina haram kila kitu ni halal?
 
Kama kweli wewe ni bikra ya ukweli ( sio ya kichina),,,

USIKUBALI KUFANYA MAPENZI KABLA YA NDOA..

Yaani umevuka vishawishi vya teanage bila kumegwa,, hadi unafika 26 umejitunza then unashindwa kumalizia miaka michache iliyobaki ukamilishe rekodi yako ya kukatwa bikra usiku wa harusi yako..

Nasema rekodi sababu wewe ni mmoja katika wasichana laki 1 wenye bikra kwa umri wako wa 26.

MIMI MWENYEWE FISI LAKINI KWA MWANAMKE KAMA WEWE SIKUMEGI.. Na Nakupa salute zako kwa hilo na USIKUBALI narudia tena USIKUBALI na tena tena nakwambia USIKUBALI KUVUA CHUPI HADI USIKU WA NDOA..

Hiyo zawadi ya ushindi mwambie Sikamona utampa kwenye USiku wa ndoa yenu
Kwani jamani bikira kuitunza mpaka siku ya ndoa kuna zawadi huwa zinatolewa au inaweza kukusaidia ukapata ndoa yenye furaha na amani itakayodumu milele!nionavyo mimi unajichelewesha tu kujipa raha,ushauri wangu mm kama unamuamini vumilia kidogo hayo maumivu then endelea kufaidi kwa raha zako,you never know if tomorrow will come,enjoy yourself binti life is too short for fantacy unataka ukue mpaka ufike miaka mingapi?
 
Kama kweli wewe ni bikra ya ukweli ( sio ya kichina),,,

USIKUBALI KUFANYA MAPENZI KABLA YA NDOA..

Yaani umevuka vishawishi vya teanage bila kumegwa,, hadi unafika 26 umejitunza then unashindwa kumalizia miaka michache iliyobaki ukamilishe rekodi yako ya kukatwa bikra usiku wa harusi yako..

Nasema rekodi sababu wewe ni mmoja katika wasichana laki 1 wenye bikra kwa umri wako wa 26.

MIMI MWENYEWE FISI LAKINI KWA MWANAMKE KAMA WEWE SIKUMEGI.. Na Nakupa salute zako kwa hilo na USIKUBALI narudia tena USIKUBALI na tena tena nakwambia USIKUBALI KUVUA CHUPI HADI USIKU WA NDOA..

Hiyo zawadi ya ushindi mwambie Sikamona utampa kwenye USiku wa ndoa yenu
Point,nakuunga mkono 100% usikubali kusex before marriage,usipo sikiliza haya tunayokwambia
it will be a big mistake u have made in ur life
 
Marketing Strategist wako mwongeze mshahara, ni hayo tu.
 
Wenzako wanagharamika mpaka China kuzitafuta..Halafu wewe unataka kuwa used!!!!

Aiseeee!!! Unaishi wapi..pengine tukionana naweza kukupa ushauri mzuri zaidi..😉
 
Mhh, eti "The rule of shake well before use is applied"!!!! Unaitumia vibaya hii kanuni! Unaruhusiwa kuitumia mara baada ya kuruhusiwa na daktari (In this case Sheikh, Padri, Mchungaji au yeyote mwenye idhini hiyo)! Na kwa bandiko lako, I can even believe that you are not VIRGIN! Sema unatamani kugegedwa, PERIOD!
 
Kwanza nadhan kuna uwezekano mkubwa wewe ni mwanaume na si mwanamke ila unaleta mada ambayo ukweli huenda hujawahi kukutana na hiyo unayoongelea ila wataka kujua watu watasemaje? Pia kama ni mwanamke bac umepinda/unatabia mbaya huwez kuja kuzungumza wewe sasa ni bikra kama kweli ni bikra sidhani kama usingekuwa na aibu! Nijuavyo mimi mabikra wote (me/ke) wanaaibu sana ila wewe kwasababu unataka ushauri maana si bikra basi utaupata tu. Cha msingi kama kweli ni bikra basi usiruhusu kuchezewa mwili mpaka uolewe na ukitaka kuharibu maisha yako fanya na mtu kabla ya ndoa maana wewe kama mwanamke ni mambo sita tu ndo hutoyasahau maishani mwako na moja ni hili atakayekutoa bikra. Ni bora mtoa bikra awe atakayekuoa huo ndo ushauri wangu.
 
Hbarini za asubuhi wapendwa, hope mnawndelea vema na shughuli zenu za kila siku.

Back to topic,

Mimi ni msichana nina miaka 26, nina mchumba ambaye tupo kwnye process za ndoa ila tumekubaliana kufanya mapenz kabla ya ndoa.(The rule of shake well before use is applied)

Tatizo mimi ni bikra sijawahi kabisa kusex maisha yangu yote. Sasa naogopa kweli kufanya mapenzi, nakuwa na hofu sana hadi siku tukilala wote inakuwa ni vita kitandani. Tunapendana sana na hali hii ya kuogpa kusex inamkosesha raha na hataki kulazimisha anataka niwe huru.

Naombeni ushauri jamani nifanye nini niondokewe na huu woga maana nimekuwa nawaza tu nitaumia nikisex.

Naombeni msaada wa mawazo jamani, hii hali ni kawaida au nina tatizo?

Asanteni sana.

promo at work
 
Kama kweli wewe ni bikra ya ukweli ( sio ya kichina),,,

USIKUBALI KUFANYA MAPENZI KABLA YA NDOA..

Yaani umevuka vishawishi vya teanage bila kumegwa,, hadi unafika 26 umejitunza then unashindwa kumalizia miaka michache iliyobaki ukamilishe rekodi yako ya kukatwa bikra usiku wa harusi yako..

Nasema rekodi sababu wewe ni mmoja katika wasichana laki 1 wenye bikra kwa umri wako wa 26.

MIMI MWENYEWE FISI LAKINI KWA MWANAMKE KAMA WEWE SIKUMEGI.. Na Nakupa salute zako kwa hilo na USIKUBALI narudia tena USIKUBALI na tena tena nakwambia USIKUBALI KUVUA CHUPI HADI USIKU WA NDOA..

Hiyo zawadi ya ushindi mwambie Sikamona utampa kwenye USiku wa ndoa yenu

Ushauri wako ni mzuri sana. Lakini what if jamaa ana kibamia? She has to find out before marriage. Plus the intimacy itself. Lazima ukague kama mnaendana kitandani. Mambo ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia nani anataka?
 
sasa kama umejitunza kote huko kwa nini utataka kuzini na mtu ambaye sio mume wako..si ufunge kwanza ndoa..angalia sana uchumba sio ndoa,unaweza vunjika hta madhabahuni na asiwepo wa kulamiwa.
 
:faint2::faint2: yani umeleta humu. we umeshamegwa.....
 
kama ni kweli hongera namheshim sana mwanamke aliyejitunza sure anafanya ndoa iwe na furaha sana kuliko kuoa mke ambae kila kijana unaekutana nae ameshamvua chupi hili linanipa karaha sana
 
kama kweli wewe ni bikra ya ukweli ( sio ya kichina),,,

usikubali kufanya mapenzi kabla ya ndoa..

Yaani umevuka vishawishi vya teanage bila kumegwa,, hadi unafika 26 umejitunza then unashindwa kumalizia miaka michache iliyobaki ukamilishe rekodi yako ya kukatwa bikra usiku wa harusi yako..

Nasema rekodi sababu wewe ni mmoja katika wasichana laki 1 wenye bikra kwa umri wako wa 26.

Mimi mwenyewe fisi lakini kwa mwanamke kama wewe sikumegi.. Na nakupa salute zako kwa hilo na usikubali narudia tena usikubali na tena tena nakwambia usikubali kuvua chupi hadi usiku wa ndoa..

Hiyo zawadi ya ushindi mwambie sikamona utampa kwenye usiku wa ndoa yenu

ushauri mzuri sana
 
Back
Top Bottom