nitafute,..
Wanaume akili zetu tunazijua wenyewe.. Unaweza ukagawa bikra yako hiyo na ukashangaa Ndoa hakunaga.. Kama umeamua kujitunza endelea na safari yako
Kama kweli wewe ni bikra ya ukweli ( sio ya kichina),,,
USIKUBALI KUFANYA MAPENZI KABLA YA NDOA..
Yaani umevuka vishawishi vya teanage bila kumegwa,, hadi unafika 26 umejitunza then unashindwa kumalizia miaka michache iliyobaki ukamilishe rekodi yako ya kukatwa bikra usiku wa harusi yako..
Nasema rekodi sababu wewe ni mmoja katika wasichana laki 1 wenye bikra kwa umri wako wa 26.
MIMI MWENYEWE FISI LAKINI KWA MWANAMKE KAMA WEWE SIKUMEGI.. Na Nakupa salute zako kwa hilo na USIKUBALI narudia tena USIKUBALI na tena tena nakwambia USIKUBALI KUVUA CHUPI HADI USIKU WA NDOA..
Hiyo zawadi ya ushindi mwambie Sikamona utampa kwenye USiku wa ndoa yenu
..Ww kweli mpuuzi akiliyako inakufanya uiyone zinaa nijambo dogo na lakwaida sana mpaka unataka ushauri kutoka kwa watu usio wajua. Ivi ww huna dini au dini yako haina haram kila kitu ni halal?Hbarini za asubuhi wapendwa, hope mnawndelea vema na shughuli zenu za kila siku.
Back to topic,
Mimi ni msichana nina miaka 26, nina mchumba ambaye tupo kwnye process za ndoa ila tumekubaliana kufanya mapenz kabla ya ndoa.(The rule of shake well before use is applied)
Tatizo mimi ni bikra sijawahi kabisa kusex maisha yangu yote. Sasa naogopa kweli kufanya mapenzi, nakuwa na hofu sana hadi siku tukilala wote inakuwa ni vita kitandani. Tunapendana sana na hali hii ya kuogpa kusex inamkosesha raha na hataki kulazimisha anataka niwe huru.
Naombeni ushauri jamani nifanye nini niondokewe na huu woga maana nimekuwa nawaza tu nitaumia nikisex.
Naombeni msaada wa mawazo jamani, hii hali ni kawaida au nina tatizo?
Asanteni sana.
Kwani jamani bikira kuitunza mpaka siku ya ndoa kuna zawadi huwa zinatolewa au inaweza kukusaidia ukapata ndoa yenye furaha na amani itakayodumu milele!nionavyo mimi unajichelewesha tu kujipa raha,ushauri wangu mm kama unamuamini vumilia kidogo hayo maumivu then endelea kufaidi kwa raha zako,you never know if tomorrow will come,enjoy yourself binti life is too short for fantacy unataka ukue mpaka ufike miaka mingapi?Kama kweli wewe ni bikra ya ukweli ( sio ya kichina),,,
USIKUBALI KUFANYA MAPENZI KABLA YA NDOA..
Yaani umevuka vishawishi vya teanage bila kumegwa,, hadi unafika 26 umejitunza then unashindwa kumalizia miaka michache iliyobaki ukamilishe rekodi yako ya kukatwa bikra usiku wa harusi yako..
Nasema rekodi sababu wewe ni mmoja katika wasichana laki 1 wenye bikra kwa umri wako wa 26.
MIMI MWENYEWE FISI LAKINI KWA MWANAMKE KAMA WEWE SIKUMEGI.. Na Nakupa salute zako kwa hilo na USIKUBALI narudia tena USIKUBALI na tena tena nakwambia USIKUBALI KUVUA CHUPI HADI USIKU WA NDOA..
Hiyo zawadi ya ushindi mwambie Sikamona utampa kwenye USiku wa ndoa yenu
Point,nakuunga mkono 100% usikubali kusex before marriage,usipo sikiliza haya tunayokwambiaKama kweli wewe ni bikra ya ukweli ( sio ya kichina),,,
USIKUBALI KUFANYA MAPENZI KABLA YA NDOA..
Yaani umevuka vishawishi vya teanage bila kumegwa,, hadi unafika 26 umejitunza then unashindwa kumalizia miaka michache iliyobaki ukamilishe rekodi yako ya kukatwa bikra usiku wa harusi yako..
Nasema rekodi sababu wewe ni mmoja katika wasichana laki 1 wenye bikra kwa umri wako wa 26.
MIMI MWENYEWE FISI LAKINI KWA MWANAMKE KAMA WEWE SIKUMEGI.. Na Nakupa salute zako kwa hilo na USIKUBALI narudia tena USIKUBALI na tena tena nakwambia USIKUBALI KUVUA CHUPI HADI USIKU WA NDOA..
Hiyo zawadi ya ushindi mwambie Sikamona utampa kwenye USiku wa ndoa yenu
Hbarini za asubuhi wapendwa, hope mnawndelea vema na shughuli zenu za kila siku.
Back to topic,
Mimi ni msichana nina miaka 26, nina mchumba ambaye tupo kwnye process za ndoa ila tumekubaliana kufanya mapenz kabla ya ndoa.(The rule of shake well before use is applied)
Tatizo mimi ni bikra sijawahi kabisa kusex maisha yangu yote. Sasa naogopa kweli kufanya mapenzi, nakuwa na hofu sana hadi siku tukilala wote inakuwa ni vita kitandani. Tunapendana sana na hali hii ya kuogpa kusex inamkosesha raha na hataki kulazimisha anataka niwe huru.
Naombeni ushauri jamani nifanye nini niondokewe na huu woga maana nimekuwa nawaza tu nitaumia nikisex.
Naombeni msaada wa mawazo jamani, hii hali ni kawaida au nina tatizo?
Asanteni sana.
Kama kweli wewe ni bikra ya ukweli ( sio ya kichina),,,
USIKUBALI KUFANYA MAPENZI KABLA YA NDOA..
Yaani umevuka vishawishi vya teanage bila kumegwa,, hadi unafika 26 umejitunza then unashindwa kumalizia miaka michache iliyobaki ukamilishe rekodi yako ya kukatwa bikra usiku wa harusi yako..
Nasema rekodi sababu wewe ni mmoja katika wasichana laki 1 wenye bikra kwa umri wako wa 26.
MIMI MWENYEWE FISI LAKINI KWA MWANAMKE KAMA WEWE SIKUMEGI.. Na Nakupa salute zako kwa hilo na USIKUBALI narudia tena USIKUBALI na tena tena nakwambia USIKUBALI KUVUA CHUPI HADI USIKU WA NDOA..
Hiyo zawadi ya ushindi mwambie Sikamona utampa kwenye USiku wa ndoa yenu
kama kweli wewe ni bikra ya ukweli ( sio ya kichina),,,
usikubali kufanya mapenzi kabla ya ndoa..
Yaani umevuka vishawishi vya teanage bila kumegwa,, hadi unafika 26 umejitunza then unashindwa kumalizia miaka michache iliyobaki ukamilishe rekodi yako ya kukatwa bikra usiku wa harusi yako..
Nasema rekodi sababu wewe ni mmoja katika wasichana laki 1 wenye bikra kwa umri wako wa 26.
Mimi mwenyewe fisi lakini kwa mwanamke kama wewe sikumegi.. Na nakupa salute zako kwa hilo na usikubali narudia tena usikubali na tena tena nakwambia usikubali kuvua chupi hadi usiku wa ndoa..
Hiyo zawadi ya ushindi mwambie sikamona utampa kwenye usiku wa ndoa yenu