jogijo
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 260
- 490
Wadau habari,
Mimi nina jambo linanitatiza sana, sana, sijui nimekua dhaifu au ni vipi. Jamani kuna kipindi nilikuja hapa kuleta uzi wa mm kuwa kwenye mahusiano na Dada mmoja kazini, dada huyu tulijikuta katika mahusiano pasipo ku-plan kwa sababu ya changamoto zake na familia yake. Yaani mumewe.
Katika Uzi ule nilieleza hali ilivokua, namnaa anaishi na namna mm naishi na mke wangu. Lakini pia nikaeleza kuwa nimeamua kumuacha kabisa na ilikua imepita siku 2 pasipo kuongea naye.
Tatizo lililopo sasa hivi ni kuwa, sikumudu kuendelea kumweka mbali ukizingatia tunafanya kazi wote, hivo tuliendelea na mahusiano yetu Kama kawaida.
Ndugu zangu, hali niliyonayo sasa, nimechoka kabisa kuishi haya maisha, sijawahi kuwaza kuwa mwanaume wa hivi, lkn mnajua mwanamke akikutaka hakukosi na inachagizwa na Hali ya ndoa yake. Mumewe ni very rude. Yaani hajari kabisa.
Sasa hapa ninawaza naweza vipi kumwacha huyu? Nimefanya majiribio karibu manne lkn yamefeli, tunaishia kununiana na kublockiana, lkn mm moyoni nimechoka, yaani Nina pretend lakini sijui mwisho ni nini.
Sijui kama hii hali ni kwangu tu au kuna wanaume wamepitia hili na walishindaje? Au nimekua dhaifu, but she was my friend alinishirikisha Hali ya ndoa yake na ilikua wanaachana na mumewe and I sorted it wakaendelea. Kila mara nikimwambia msimamo wake Ni kuwa ninatumia madhaifu ya familia yake kumwadhibu. Ninatesa kwa sababu ameamua kunipenda. Daaah naumia sijui naipitaje hii njia.
Lkn pia, ni mdada mzuri kwakweli, kuhusu gharama nadhan yeye anaingia gharama nyingi sana kuliko mm. Lkn kwenye upendo naona ninakwama maana kwakweli simpendi, kwa Sasa nipo kwa sababu ya huruma ya ndoa yake na nisionekane natake advantage kukuumiza.
Msaada kama kuna mtu kapita hapa.
Nawasilisha.
Mimi nina jambo linanitatiza sana, sana, sijui nimekua dhaifu au ni vipi. Jamani kuna kipindi nilikuja hapa kuleta uzi wa mm kuwa kwenye mahusiano na Dada mmoja kazini, dada huyu tulijikuta katika mahusiano pasipo ku-plan kwa sababu ya changamoto zake na familia yake. Yaani mumewe.
Katika Uzi ule nilieleza hali ilivokua, namnaa anaishi na namna mm naishi na mke wangu. Lakini pia nikaeleza kuwa nimeamua kumuacha kabisa na ilikua imepita siku 2 pasipo kuongea naye.
Tatizo lililopo sasa hivi ni kuwa, sikumudu kuendelea kumweka mbali ukizingatia tunafanya kazi wote, hivo tuliendelea na mahusiano yetu Kama kawaida.
Ndugu zangu, hali niliyonayo sasa, nimechoka kabisa kuishi haya maisha, sijawahi kuwaza kuwa mwanaume wa hivi, lkn mnajua mwanamke akikutaka hakukosi na inachagizwa na Hali ya ndoa yake. Mumewe ni very rude. Yaani hajari kabisa.
Sasa hapa ninawaza naweza vipi kumwacha huyu? Nimefanya majiribio karibu manne lkn yamefeli, tunaishia kununiana na kublockiana, lkn mm moyoni nimechoka, yaani Nina pretend lakini sijui mwisho ni nini.
Sijui kama hii hali ni kwangu tu au kuna wanaume wamepitia hili na walishindaje? Au nimekua dhaifu, but she was my friend alinishirikisha Hali ya ndoa yake na ilikua wanaachana na mumewe and I sorted it wakaendelea. Kila mara nikimwambia msimamo wake Ni kuwa ninatumia madhaifu ya familia yake kumwadhibu. Ninatesa kwa sababu ameamua kunipenda. Daaah naumia sijui naipitaje hii njia.
Lkn pia, ni mdada mzuri kwakweli, kuhusu gharama nadhan yeye anaingia gharama nyingi sana kuliko mm. Lkn kwenye upendo naona ninakwama maana kwakweli simpendi, kwa Sasa nipo kwa sababu ya huruma ya ndoa yake na nisionekane natake advantage kukuumiza.
Msaada kama kuna mtu kapita hapa.
Nawasilisha.