Msaada wana JF niko kwenye wakati mgumu

Msaada wana JF niko kwenye wakati mgumu

Usinikumbushe nishawahi kuishi kwa kula mkate asubuhi, mchana na usiku
Aise mkate mmoja siku tatu unashushia na maji.....ili kuendelea ku survive

Hayo maisha nimeyaishi sana yaani unakula slace moja kila baada ya masaa sita siku inakamalika kwa kula slace tatu....
 
Siyo nina roho unapoleta hoja unatakiwa uwe na uwezo wa kutusawishi,kweli msomi wa kuandika hajui?hapana kwa kweli.
Ila nafikiri atakuwa keshapata hela ya kula,
Wewe unataka akushawishi vp????mtu kashaeleza maelezo kibao apo ww unataka hoja gani au kisa ajapangilia vzr muandiko wake ndo kosa.Acheni izo aisee sio vizuri wewe kama imekugusa msaidie au kama ijakugusa achana nae fanya mambo yako basi.kwaiyo kisa muandiko sio?? dah ila Watanzania sisi.
 
Kwa ninapoishi vyuo vingi nauli yake haizidi 500. Akija kula akiamua atabeba, ikifika wakati nauli imekua shida tutaangalia tunatatuaje hilo swala.

asante ndugu niko mkoani
 
k
Siyo nina roho unapoleta hoja unatakiwa uwe na uwezo wa kutusawishi,kweli msomi wa kuandika hajui?hapana kwa kweli.
Ila nafikiri atakuwa keshapata hela ya kula,
Siyo nina roho unapoleta hoja unatakiwa uwe na uwezo wa kutusawishi,kweli msomi wa kuandika hajui?hapana kwa kweli.
Ila nafikiri atakuwa keshapata hela ya kula,

Kwahiyo hapa ndio umeona umeandika Kiswahili fasaha au sio kweli we kuzi.
 
Siyo nina roho unapoleta hoja unatakiwa uwe na uwezo wa kutusawishi,kweli msomi wa kuandika hajui?hapana kwa kweli.
Ila nafikiri atakuwa keshapata hela ya kula,
Hakuna Elimu kwenye njaa mkuu, so kama IPO mpe ila kama nawe ndio mpaka UDANGE hapo shuhuli[emoji52]
 
Duh nikajua niko peke yangu kumbe tupo wengi....pole sana
 
Dah pole, ila nakushauri tafuta rafiki wa kweli ambaye hawezi kula akijua wewe hujala na pesa huna.

Ila usiwe mchoyo na yeye siku akinasa.


Kwenye uchoyo sijawai kuwa, watu wana mioyo ya ajabu kuna rafiki zangu nimewasaidia sana kuna mmoja alikwama hadi 250,000/= ya ada nikampa na siku ambazo yuko kwenye hali kama niliyonayo sasa akinifuata shida nampa imsogeze mbali 10,000/= lakini mtu huyohuyo nipo kwenye hali hii ukimfuata anakupa 2000/= muda mwingine 500/= sasa hii inamaana kila siku nikufuate au, sihivyo tu mtu huyo umemsaidia sana lakini ilikuja muda wa field anapewa 400,000/= mimi sina ninashida ya 10,000/= tu hakupi. Kuna mwengine hivyohivyo kwenye hali ngumu nampaga akija 10,000/= inamsogeza anakuja tena nampa 10,000/= nampa sio mpaka ahoji sana hadi kunipigia magoti lakini kwangu mimi hata shiilingi kumi moja yake hajanipa na vilevile huyo anapes ya field nilimuomba 10,000/= tu hata shilingi kumi.

Sasa watu kama hawa unao wawezesha wakati wa hali ngumu ukiwa na hali ngumu wewe ukale na nao iyo si fedhea ya waziwazi ikiwa wewe wakiwa na shida unawawezesha kwa pesa.
 
Kwenye uchoyo sijawai kuwa, watu wana mioyo ya ajabu kuna rafiki zangu nimewasaidia sana kuna mmoja alikwama hadi 250,000/= ya ada nikampa na siku ambazo yuko kwenye hali kama niliyonayo sasa akinifuata shida nampa imsogeze mbali 10,000/= lakini mtu huyohuyo nipo kwenye hali hii ukimfuata anakupa 2000/= muda mwingine 500/= sasa hii inamaana kila siku nikufuate au, sihivyo tu mtu huyo umemsaidia sana lakini ilikuja muda wa field anapewa 400,000/= mimi sina ninashida ya 10,000/= tu hakupi. Kuna mwengine hivyohivyo kwenye hali ngumu nampaga akija 10,000/= inamsogeza anakuja tena nampa 10,000/= nampa sio mpaka ahoji sana hadi kunipigia magoti lakini kwangu mimi hata shiilingi kumi moja yake hajanipa na vilevile huyo anapes ya field nilimuomba 10,000/= tu hata shilingi kumi.

Sasa watu kama hawa unao wawezesha wakati wa hali ngumu ukiwa na hali ngumu wewe ukale na nao iyo si fedhea ya waziwazi ikiwa wewe wakiwa na shida unawawezesha kwa pesa.
Ila nawe jifunze kuandika kwa mpangilio mzuri,yaani nimemaliza kusoma na dicloper imefuata kinywani.anyway,i wish you Lucky
 
Salaam wandugu,tunakuwa pamoja katika mada mbalimbali ila naandika uzi huu kwa kweli katika maisha hakuna hali ngumu niliyowai kupitia kama hii, kiukweli nasoma chuo nina boom ila ingekuwa sina mkopo hii familia yangu isingeweza kunisomesha chuo, kiukweli nina boom ila boom langu linatumika katika vitu mbalimbali mfano kulipa ada, nyumbani kidogo na pia kutokana na hali ngumu ya maisha nafanya uwekezaji kidogo kwa kujibana hivohivo, ila semister hii kwa kweli boom lamgu limekuwa na matatizo sijalipata, nimeishi maisha ya shida nimekopa, nilipewa nguo mpya nimeuza, nimekula mikate mchana jioni nk.

Kiukweli wana jukwaa mtu akiguswa akanikopesha hata 20,000/= au 10,000/= itakuwa imenisogeza hapa nilipo nakula mikate mchana na usiku na hapa napoandika uzi huu nimebaki na scones mbili tu kesho sijajua, nimewakopa watu hadi imekuwa fedhea sasa. atakayeguswa anisaidie inisogeze siku.

Sio na ombaomba ila kwa wakati wa sasa sina aitenative yoyote

namba hiyo 0784931814 airtel money kwa atayeguswa
Vipi ULIUNGUZA akaunti kule kwenye FOREX? Maanake nilisoma kama ulikuwa unapiga sana hela....!

Ontario una kipaji sana, ushawishi wako ni kama mganga wa kienyeji au wachungaji feki
 
Tupo salama mkuu tunashukuru Mungu, sijui kwenu huko.

Vizuri kama usalama upo kiongozi. Nna kalikizo kasiku mbili kurudisha morali kidogo.

Unajua najifunza vitu vingi sana kwenye huu uzi.
Jambo la kwanza, kila mmoja ana matatizo na shida zake za kutosha hata kama hasemi au hawaambii watu.

Pili, sio kila unaemsaidia atakuja kukusaidia kwa kiwango ulichojitoa kwake. Ukiwa na huo mtazamo, utaishia kufadhaika na kugombana na watu bila sababu.

Mwisho, mtafuta suluhu na mfumbuzi wa matatizo yako ni wewe mwenyewe. Hakuna mtu ataipa shida yako kipaumbele au kuielewa vizuri kuliko wewe inayokukabili. Tuliza akili kutafuta suluhu stahiki.

Tatizo moja linaweza kuwapata watu wawili tofauti, mmoja akajiua, mwingine akaamua kwenda barabarani akawa ombaomba, mwingine akatafuta mtu akamweleza shida yake apate mtaji ajishughulishe na chochote kuliko kuwa tegemezi.

Ukiamua kumsaidia mtu msaidie tu kama una nafasi. Ubinadamu siku hizi mdogo. Mungu anajua atakavyoweza kukulipia hata kama sio kwako, kuna namna utalipwa tu, wema hauozi.

October man hiyo namba inaandika jina gani? Unaweza ni PM.

RRONDO uwe na siku njema kapteni.
 
Hasa uwe Brown Bread

We jamaa wewe, watu tunaongelea kitu cha kuweka uzito tumboni at least uweze kunywa maji wewe unaleta anasa? Brown bread huko ni kwenye option unaogopa kolestro na kisukari. Hapa tunaongelea slesi unaipaka parachichi..
 
Back
Top Bottom