Msaada wana JF niko kwenye wakati mgumu

Msaada wana JF niko kwenye wakati mgumu

Kibaya una smartphone na unaweka bundle....uza simu pesa ifanye kua mtaji

ujaelewa andiko langu vizuri kimsingi sina na sijawai kuwa na tatizo la mtaji katika maisha kutokana na biashara ninazo zitageti kwasababu pesa zangu ninazo zipata ni active money, zinaingia kwa wakati wake na kuusu biashara ungekaa na mimi ndio ungenijua vizuri nikikuonesha list ya biashara na muda wake wakuzifanya, tukija kwenye hali hii iliyonikuta ni ya muda sio kwamba ndio maisha yangu ila sababu kubwa iliyonipelekea kuja hapa ni kutokuwa na altenative, imagine tu mwenyewe uishi sehemu furani kipindi cha miezi miwili bila pesa.

naendelea kukusisitizia smartphone ni kila kitu kwa mwanachuo.
 
Yaani wewe una boom unakuja kulia lia humu.
Mwanachuo gani wewe mwandiko kama kuku unadonyoa donyoa tu.
Referrence tu umeshindwa kuandika kiufasaha,hakuna herufi kubwa wala ndogo,nukta hakuna.
Kwa kweli shindia tu scones wewe ni janga kwa taifa.
Mkuu mvumilie tu hayo ni mawazo ya maisha ndio yaliyopelekea kuandika hivyo.
 
Nitakuja kudanga kwako ili nimtumie october man akafufue akaunt ya forex
Hakuna Elimu kwenye njaa mkuu, so kama IPO mpe ila kama nawe ndio mpaka UDANGE hapo shuhuli[emoji52]
 
huna ndugu,jamaa wala marafiki

baada ya wiki moja elfu kumi ikiisha unafanyaje tena?

wewe ni mwanafunzi kwanini utume ela nyumbani au ku save?
 
Back
Top Bottom