Msaada wana JF niko kwenye wakati mgumu

Msaada wana JF niko kwenye wakati mgumu

u
Yaani wewe una boom unakuja kulia lia humu.

usikajifanye ujui nilichoandika wewe uwe nalo boom usiwe nalo itadepend na economic background yako, kuna watu awana hilo boom lakini still wanaishi maisha mzuri kuliko wenye boom nimejitaidi kukuelezea still unajionesha kuwa ni mgumu wa kuelewa, kama wewe sio muhusika upitie pembeni huu uzi sijakwita, kama unaweza kuandika nakutoa majibu kunya kwenye hiyo 10,000/= je mtu akikujia na shida kubwa aya maisha yana safari wewe ujifunze
 
Okee so baada ya siku 7 kuisha utaanza tena kutafuta nyingine. Ni vzr ungekaa chini ufanye biashara ndogo kulingana na mazingira uliyopo ambayo itakuwa inakuinguzia pesa kidogo.

hapana Demi, kuusu biashara hadi sasa ni plan za biashara zangu na strategy zake jinsi ya kuzifanya na sio chuo, ila kilichopo sasahivi ni kupigania uwepo wangu kwasababu hata nikisema nifanye biashara bado nitahitaji mtaji, kama nikitaka kuajiriwa bado lazima niombe kama hivi, nilishajaribu kuhitaji 10,000/=, mpaka kufikia hapa nishajaribu kuhitaji kufanya biashara ya kuuza white paper ila ikakosekana 10,000/= tu, mpaka kufika hapa nishauzaa nguo nk umenielewa.

nachoitaji mimi ni kuishi mpaka tarehe 20 ambapo ndio pagumu hapo kwahivy kwa makadilio yangu 20,000/= au nimekosa 10,000/= itanifikisha.
 
Yaani wewe una boom unakuja kulia lia humu.
Mwanachuo gani wewe mwandiko kama kuku unadonyoa donyoa tu.
Referrence tu umeshindwa kuandika kiufasaha,hakuna herufi kubwa wala ndogo,nukta hakuna.
Kwa kweli shindia tu scones wewe ni janga kwa taifa.

acha hizo wewe muandiko tunauwacha duniani tu, pia uwelewi kuhusu boom wewe kuna watu tunalo hilo boom kama hatuna ukipata hiyo laki tano inabaki laki moja tu muda mwingine yote inaisha, hii inatokana na economic background yako vitu vyote nimekuandikia ubishi wako, kitu kingine kukuomba msaada sio ndio nikupigie magoti aya maish tu.
 
Pole sanaaa.....umenkumbusha kipindi nasoma yani we acha tu

Kipindi hicho nmepata boom af nyumban ovyo balaaa, mdogo angu ndo amefaulu form 4 baada ya kurisit anatakiwa aingie form 5 private ilinibidi nimlipie ada.

Kiujumla nlikua nakula milo miwili mchana na usiku...mkate mmoja na sayonaaaa, bajeti yangu buku jero kwa siku....nouma sanaaa

Ila kuna kipindi nilikua nalitumbua balaa likijosa kazi...

Ushauli wangu jifunze kusave acha kununua masmart phone sijui kwenda na fasheni utakufa
 
Usibweke sana,wewe umepewa boom tena bajeti ya kila siku unapeleka ambapo hakuna mpangilio mbaya zaidi una bad strategy,hiyo elimu itakusaidia vipi kama kuandika hujui?Kujenga hoja huwezi
acha hizo wewe muandiko tunauwacha duniani tu, pia uwelewi kuhusu boom wewe kuna watu tunalo hilo boom kama hatuna ukipata hiyo laki tano inabaki laki moja tu muda mwingine yote inaisha, hii inatokana na economic background yako vitu vyote nimekuandikia ubishi wako, kitu kingine kukuomba msaada sio ndio nikupigie magoti aya maish tu.
 
Yaani wewe una boom unakuja kulia lia humu.
Mwanachuo gani wewe mwandiko kama kuku unadonyoa donyoa tu.
Referrence tu umeshindwa kuandika kiufasaha,hakuna herufi kubwa wala ndogo,nukta hakuna.
Kwa kweli shindia tu scones wewe ni janga kwa taifa.
Dah sio fresh Kwan kuandika kuna husiana nn msaada anao omba ?? Piga kimya ka huna msaada mkuu wanachuo tunazijua hali zetu wenyewe we ulisoma kwa raha
 
Usibweke sana,wewe umepewa boom tena bajeti ya kila siku unapeleka ambapo hakuna mpangilio mbaya zaidi una bad strategy,hiyo elimu itakusaidia vipi kama kuandika hujui?Kujenga hoja huwezi

kwani unachotaka wewe ni nini.
 
Salaam wandugu,tunakuwa pamoja katika mada mbalimbali ila naandika uzi huu kwa kweli katika maisha hakuna hali ngumu niliyowai kupitia kama hii, kiukweli nasoma chuo nina boom ila ingekuwa sina mkopo hii familia yangu isingeweza kunisomesha chuo, kiukweli nina boom ila boom langu linatumika katika vitu mbalimbali mfano kulipa ada, nyumbani kidogo na pia kutokana na hali ngumu ya maisha nafanya uwekezaji kidogo kwa kujibana hivohivo, ila semister hii kwa kweli boom lamgu limekuwa na matatizo sijalipata, nimeishi maisha ya shida nimekopa, nilipewa nguo mpya nimeuza, nimekula mikate mchana jioni nk.

Kiukweli wana jukwaa mtu akiguswa akanikopesha hata 20,000/= au 10,000/= itakuwa imenisogeza hapa nilipo nakula mikate mchana na usiku na hapa napoandika uzi huu nimebaki na scones mbili tu kesho sijajua, nimewakopa watu hadi imekuwa fedhea sasa. atakayeguswa anisaidie inisogeze siku.

Sio na ombaomba ila kwa wakati wa sasa sina aitenative yoyote

namba hiyo 0784931814 airtel money kwa atayeguswa
Upo seriously mkuu???
 
Daah Pole Sana ndugu MUNGU yupo usihofu utakula nini wala utavaa nini, mtegemee yeye peke yake.
 
Back
Top Bottom