Msaada wana JF niko kwenye wakati mgumu

Msaada wana JF niko kwenye wakati mgumu

halingumu ndugu muda mwingine inakuja automatically haizuiliki, ila kibaya sina kwa kupata hata 5000 ukimfuata wakaribu anasema hali ngumu, madeni kibao ndio maana nakopa sio kwamba hali ya kudumu ila uwezi shinda na njaa mpaka muda itapokaa sawa
Kwann hukupewa mkopo wako Mkuu?
 
acha hizo wewe muandiko tunauwacha duniani tu, pia uwelewi kuhusu boom wewe kuna watu tunalo hilo boom kama hatuna ukipata hiyo laki tano inabaki laki moja tu muda mwingine yote inaisha, hii inatokana na economic background yako vitu vyote nimekuandikia ubishi wako, kitu kingine kukuomba msaada sio ndio nikupigie magoti aya maish tu.
Yani laki tano boom af unakaa nayo Kwa muda gan?
 
Kwa hiyo unafikira kesho itakuwaje Kwa maana ya kula? Kuna watu hawajui Leo itaishaje? Imeandikwa iache kesho ijisumbujie yenyewe...! Huwa nawashangaa sana watu wenye hofu ya chakula cha kesho ..kuna ambao leo mpaka muda huu Ramani haijasomeka

Ha ha haa we jamaa bwana
 
I can feel you joh, tatizo kaka yako nimemaliza chuo na ajira zikasitishwa. Kukutumia hela siwezi, ila kama upo Dar fanya nikuelekeze nilipo uwe unakuja kula.
Gharama ya nauli inaweza kuwa sawa au zaidi ya gharama ya chakula chake. Na muda atakaopoteza kuja kula na kurudi chuo.
 
Yaani wewe una boom unakuja kulia lia humu.
Mwanachuo gani wewe mwandiko kama kuku unadonyoa donyoa tu.
Referrence tu umeshindwa kuandika kiufasaha,hakuna herufi kubwa wala ndogo,nukta hakuna.
Kwa kweli shindia tu scones wewe ni janga kwa taifa.
Hakika msafara wa mamba na kenge pia wamo!
 
Gharama ya nauli inaweza kuwa sawa au zaidi ya gharama ya chakula chake. Na muda atakaopoteza kuja kula na kurudi chuo.
Inawezekana pia akawa anaishi karibu na chuo,kutembea kwa miguu tu anafika
 
Dah sio fresh Kwan kuandika kuna husiana nn msaada anao omba ?? Piga kimya ka huna msaada mkuu wanachuo tunazijua hali zetu wenyewe we ulisoma kwa raha
Na pengne hajasoma kabsa au kaishia 4 kapga f flat, boom analisikia tu,, anafkr ukiwa boom ndo umeshamaliza maisha...
 
Yaani wewe una boom unakuja kulia lia humu.
Mwanachuo gani wewe mwandiko kama kuku unadonyoa donyoa tu.
Referrence tu umeshindwa kuandika kiufasaha,hakuna herufi kubwa wala ndogo,nukta hakuna.
Kwa kweli shindia tu scones wewe ni janga kwa taifa.
Una roho mbaya sana wewe..
 
Usibweke sana,wewe umepewa boom tena bajeti ya kila siku unapeleka ambapo hakuna mpangilio mbaya zaidi una bad strategy,hiyo elimu itakusaidia vipi kama kuandika hujui?Kujenga hoja huwezi
Wewe mwenyewe hapo ulipo unaonekanika kabisa amna kitu eti kujenga hoja..?? Wewe unajua jinsi ya kujenga hoja, kama unaweza msaidie na si maneno kibao roho mbaya tuu.
 
Siyo nina roho unapoleta hoja unatakiwa uwe na uwezo wa kutusawishi,kweli msomi wa kuandika hajui?hapana kwa kweli.
Ila nafikiri atakuwa keshapata hela ya kula,
Una roho mbaya sana wewe..
 
Back
Top Bottom