October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 4,996
.
zikusaidie nini?au kipi hujaelewa kwa mleta mada?Application yangu ya JF kwa sasa haionesh previous post za member wengine.
Wewe ni mgogo?
Mbona mwandiko kama wa primary
Kuomba msaada sio aibu ila muwe wakweli
Kwa mwandiko huo
I am out
Kwa hiyo unafikira kesho itakuwaje Kwa maana ya kula? Kuna watu hawajui Leo itaishaje? Imeandikwa iache kesho ijisumbujie yenyewe...! Huwa nawashangaa sana watu wenye hofu ya chakula cha kesho ..kuna ambao leo mpaka muda huu Ramani haijasomeka
pole mkuu
Ukipewa 10,000 leo itaisha baada ya siku mbili utafanyaje?
mwandiko mapungufu ya wengi ila tunajitaidi tu, uwanachuo sio kujua kila kitu kumbuka mwandiko tunajifunza shule ya msingi sio elimu ya juu hivyo isiwe njia ya kutumia reference kwa elimu ya juu
Okee so baada ya siku 7 kuisha utaanza tena kutafuta nyingine. Ni vzr ungekaa chini ufanye biashara ndogo kulingana na mazingira uliyopo ambayo itakuwa inakuinguzia pesa kidogo.hapana nimeshaikadilia ni siku hata saba hiyo