Lady.A
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 392
- 191
habari wapendwa,
mimi naomba kuuliza, ingawa sio mgeni sana hapa lakini hiki kitu sikielewi!
hapa kuna kale kamtindo ka uchumba, kuoa na kuolewa! hivi kweli mnamaanisha au ni kamchezo tu?
maana watu wanafanya kama kweli! sasa mimi najiuliza ina maana hawa wote wanakuwa hawana wake/waume huko makwao? na kama ni mchezo tu wa chit chat, duuh!!
mimi naomba kuuliza, ingawa sio mgeni sana hapa lakini hiki kitu sikielewi!
hapa kuna kale kamtindo ka uchumba, kuoa na kuolewa! hivi kweli mnamaanisha au ni kamchezo tu?
maana watu wanafanya kama kweli! sasa mimi najiuliza ina maana hawa wote wanakuwa hawana wake/waume huko makwao? na kama ni mchezo tu wa chit chat, duuh!!