Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,938
- 93,853
Guys huyu zubedayo_mchuzi haongelei gari la kawaida hapa! Hamuoni hata Arabela mwenyewe anashangaa kama gari ni gari kweli? Na huo MLIMA siyo mlima kweli. Hakuna wanafalsafa humu wampe jibu? Me naogopa BAN.
mbona waungwana tushamuelewa....mkuu nawe gari lako laweza panda mlima?
Last edited by a moderator: