iPhone 6
Senior Member
- Aug 8, 2020
- 104
- 153
Habari zenu wakubwa zangu,
Nanyenyekea sana nikiamini JF uwa hakuna tatizo linalokosa msaada.
Wakubwa nahitaji msaada wenu ni kwamba kuna company flani kubwa tu staki kuitaja ila department niliyokua nafanyia kazi ni Huduma kwa wateja nilikua nafanya kama customer service representative kitengo cha Customer Value Management.
Shida yangu niliacha chazi kwenye hiyo company kwasababu nilifanya kazi kwa miaka kama minne na tunatumia headset kwaiyo ili kuepuka demage kwenye masikio yangu nikana niache shida nmeacha kazi na nikafanya clearance company haitaki kunipa termination letter ili nifatilie NSSF xangu nina kama 3 million,naombeni msaada jinsi gani nitapata hiyo barua hata kwa magumashi nifatilie mafao yangumaana nina madeni na sijui nalipa vipi nategmea haya mafao nilipe madeni atake nisaidia kupata barua hata ya kufukuzwa kazi hata kwa kufoji ili nipeleke NSSF nitampa laki tano cash baada ya kupata pesa naombenk msaada wana jamii manake naelekea kudata sasa hivi sina kazi nategemea kupambania hayo mafao na company hainipi msaada naimani hapa kuna watu tofauti naweza saidikika , nashukuru sana wakubwa , Mungu awabariki muwe na weekend njema.
Nanyenyekea sana nikiamini JF uwa hakuna tatizo linalokosa msaada.
Wakubwa nahitaji msaada wenu ni kwamba kuna company flani kubwa tu staki kuitaja ila department niliyokua nafanyia kazi ni Huduma kwa wateja nilikua nafanya kama customer service representative kitengo cha Customer Value Management.
Shida yangu niliacha chazi kwenye hiyo company kwasababu nilifanya kazi kwa miaka kama minne na tunatumia headset kwaiyo ili kuepuka demage kwenye masikio yangu nikana niache shida nmeacha kazi na nikafanya clearance company haitaki kunipa termination letter ili nifatilie NSSF xangu nina kama 3 million,naombeni msaada jinsi gani nitapata hiyo barua hata kwa magumashi nifatilie mafao yangumaana nina madeni na sijui nalipa vipi nategmea haya mafao nilipe madeni atake nisaidia kupata barua hata ya kufukuzwa kazi hata kwa kufoji ili nipeleke NSSF nitampa laki tano cash baada ya kupata pesa naombenk msaada wana jamii manake naelekea kudata sasa hivi sina kazi nategemea kupambania hayo mafao na company hainipi msaada naimani hapa kuna watu tofauti naweza saidikika , nashukuru sana wakubwa , Mungu awabariki muwe na weekend njema.