Msaada wajumbe: Nataka nimshitaki Baba yangu mzazi, sheria ipi nitumie?

Ndicho nnachoki maanisha kuwa maamuzi yake ya kumpeleka mzazi mahakamani kisa kuomba msaada anafeli na atafeli vibaya mno!

Hiki kitu ilitakiwa akifanye kipindi anasoma shule, kuwa mimi baba anakataa kunisomesha na kuni sapoti mambo ya shule hii ingeleta maana. Kwa kifupi kakosea target
Mimi sio tegemez najilea sawa ninageto lang sawa kwanza usikute wewe ndio kwanza unaishi kwa shemej yako kama huna cha kunishauli kausha ujalazimswa sawa kutoa maon yako hapa
 
Tafuta vyako uyo sio baba yako, muulize mama yako iyo mimba aliiokota wapi? Umenunua smartphone unaweka bando bado unataka kutunzwa? Mshitaki mama yako akuoneshe baba yako.
Hii smartphone na bando cjanunua nimehongwa na mkeo
 
Ndicho nnachoki maanisha kuwa maamuzi yake ya kumpeleka mzazi mahakamani kisa kuomba msaada anafeli na atafeli vibaya mno!

Hiki kitu ilitakiwa akifanye kipindi anasoma shule, kuwa mimi baba anakataa kunisomesha na kuni sapoti mambo ya shule hii ingeleta maana. Kwa kifupi kakosea target

Exctly mkuu...sio utopolo wakutaka Mali..
 
Kwa mentality hii ndio maana baba yako aliamua kukuweka kando na family yake!

Mimi nakaa kwa shemeji sawa lakini siwezi kuomba msaada kwa mtu ambae hana time na mimi

Umri wangu sio wa kulilia urithi tena kwa mtu alie hai yaani hajafariki

Huyo mzee akifariki wewe unaweza hata kuchoma nyumba yake wewe


Umesema wewe ni dereva bajaj lete namba nkuunganishe na bajaj za papaa G uendeshe

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app


Yaani Kama watu wanafeli ni kuanza kuwaza urithi...mimi naandika leo hii sitaki urithi wa mtu labda nipewe ardhi hapo sawa..sitak nyumba sitak gari sitaki hela..maana huwa havikai...
 
Nilimaanisha hana chake kiislam, sijui huko kiserikali.

Ila mwisho nitaendelea kumpa lawama huyo mzee zao la yote haya ni upuuzi wake alioufanya miaka 24 nyuma kiimani tunasema kamdhurumu huyu mtoto.

Sasa mtoto anakuwa hana haki kwa kosa silake zinaa za mtu mwengine.

Sivan ulozaliwa tu ni zawadi tosha Sana..maana watu wanatoa mimba kubwa tu..so kuzaliwa tu ni zawadi kubwa sana
Huyu dogo hajajitanbua tu. Huyu akomae Sana iki awe na chake. Baba ataona aibu iko siku atamwita atampa kitu chochote kumsogeza. .huhu angezaliwa kwetu angekuwa amejiua zamani...Kuna wazaz wanasaidia nje kuliko ndan.na ukimuuliza anakuambia unanipania hela zako?? Lol...mie sitak kbs kuangalia Mali za wazazi
 
Kwa mentality hii ndio maana baba yako aliamua kukuweka kando na family yake!

Mimi nakaa kwa shemeji sawa lakini siwezi kuomba msaada kwa mtu ambae hana time na mimi

Umri wangu sio wa kulilia urithi tena kwa mtu alie hai yaani hajafariki

Huyo mzee akifariki wewe unaweza hata kuchoma nyumba yake wewe


Umesema wewe ni dereva bajaj lete namba nkuunganishe na bajaj za papaa G uendeshe

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
0625769617
 
Mleta mada pole sana. Nikushauri onana na mkuu wa familia yenu au ukoo anayeheshimika na baba na familia ili baba aitwe ashauriwe kuwa wewe ni damu yake, asikutupe akusaidie.

Kuhusu mirathi, angekuwa ameshakufa ungeweza kwenda kupinga mahakamani. Lakini kote huko ni kutafuta vita tu isiyo ya lazima. Una nguvu na afya njema, jishughulishe, anayetoa riziki ni Mungu.
 
Mkuu hauna huruma..., yaani na matatizo haya ya uchumi, global warming na unemployment bado unataka utuongezee matatizo ya ku-solve issue zako na mzee wako ?

Tafadhali kuwa na huruma...., Issue zenu nenda mkasolve kindungu..., sometimes unaweza uka-win a Battle ila uka-loose a War....
 
Shenzi zako nilikupeleka shule ukawa mvuta bangi leo hii unapanga kunishitaki. Kwanza nilikukubali tu lakini kiukweli mama yako alinibambika mtoto. Tutapia DNA.
pambana 2onane mhakaman unajua kuzaa2 hutak kulea
 
acha kukalili nani kasema Mimi ninduguyake? Mimi nimtoto ake sio ndugu yake soma vizur. Nina haki ya kulisi kama hao watoto wengine alio walisisha
Ninadhani hauielewi kanuni za mirathi ama urithi.

Mirathi hutolewa kwa walengwa kwa kufuata kanuni flani flani pindi mwenye mali anapokuwa amefariki.

Hakuna popote sheria isemapo kuwa mirathi hugawiwa wakati mwenye mali hajawa marehemu.

Alichokifanya babako si kugawa urithi, bali kawaga pesa zake kama miradi ya kibiashara kwa ndugu zako.

Hiyo ni 'presha' na stress zifanywazo na wastaafu wengi, wakidhania kugawagawa pesa ovyo kwa watoto wakiita mitaji, baadaye huwa ni majuto na lawama zinazowarudia na kuwachafua wao wenyewe.

Hauwezi kumpatia mtaji mtu bila maandalizi ya biashara ama matumizi sahihi ya fedha hizo.

Kwa mantiki ya andishi lako hapo nawe unataka mgao na si urithi!

Sasa mgao ni mpaka mwenye mali apende.

Hauwezi kwenda mahakamani kufungua shauri la madai hapo, hauna haki na fedha ya mtu mwingine.

Kama wengi walivyoshauri, komaa tafuta maisha yako, achana na hiyo stori ya kutafuta lawama zinazoepukika na Mungu atakuangazia.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sivan ulozaliwa tu ni zawadi tosha Sana..maana watu wanatoa mimba kubwa tu..so kuzaliwa tu ni zawadi kubwa sana
Huyu dogo hajajitanbua tu. Huyu akomae Sana iki awe na chake. Baba ataona aibu iko siku atamwita atampa kitu chochote kumsogeza. .huhu angezaliwa kwetu angekuwa amejiua zamani...Kuna wazaz wanasaidia nje kuliko ndan.na ukimuuliza anakuambia unanipania hela zako?? Lol...mie sitak kbs kuangalia Mali za wazazi
Aisee kweli zawadi.
 
Sivan ulozaliwa tu ni zawadi tosha Sana..maana watu wanatoa mimba kubwa tu..so kuzaliwa tu ni zawadi kubwa sana
Huyu dogo hajajitanbua tu. Huyu akomae Sana iki awe na chake. Baba ataona aibu iko siku atamwita atampa kitu chochote kumsogeza. .huhu angezaliwa kwetu angekuwa amejiua zamani...Kuna wazaz wanasaidia nje kuliko ndan.na ukimuuliza anakuambia unanipania hela zako?? Lol...mie sitak kbs kuangalia Mali za wazazi
mzee wangu yuko hivi da aliku
Sivan ulozaliwa tu ni zawadi tosha Sana..maana watu wanatoa mimba kubwa tu..so kuzaliwa tu ni zawadi kubwa sana
Huyu dogo hajajitanbua tu. Huyu akomae Sana iki awe na chake. Baba ataona aibu iko siku atamwita atampa kitu chochote kumsogeza. .huhu angezaliwa kwetu angekuwa amejiua zamani...Kuna wazaz wanasaidia nje kuliko ndan.na ukimuuliza anakuambia unanipania hela zako?? Lol...mie sitak kbs kuangalia Mali za wazazi
mzee wangu yuko hivyo nilikua naona ananionea nikimuomba gari nikapigie bakora mtaani ananiambia nunua lako da nilipopata kazi tu kitu cha kwanza nikatafuta mpira wa motoo nikaenda kumchapa nao bakora hakuamini alikaa kama mwezi hivi akanitumia sms kuuliza nimenunua shi ngapi ha ha ha ha respect is earned
 
Wewe kila unachoombwa na mtu huwa unatoa?
Kuna kipindi nilikua stressed Sana back years. Nikaomba him wanipe pikipiki ilikuwepo tu hom haina mtu..aisee..baba alinijibu jibu fyongi. Akaniambia hii ni ya kwangu tafuta yako ..na wasukuma ukishaolewa usitegemee kitu toka upande wa kike I😀..niliumia zaidi ya miaka 2! Mwaka huu juzi tu hapa baba ananiambia aisee Ile pikipiki uloomba uje uichkue..badaye akajifukiria akasema ngj niifanyie kwanza marekebisho nifanye transfer kbs isije kukusumbua ..imagine kitu nimeomba 2011! Anakuja kunipa 2020! Ameona nimekomaa kiakili...ndo namwambia huyu dogo aachane na habari za urithi sijui ulisi sijui urisi
 
mzee wangu yuko hivi da aliku

mzee wangu yuko hivyo nilikua naona ananionea nikimuomba gari nikapigie bakora mtaani ananiambia nunua lako da nilipopata kazi tu kitu cha kwanza nikatafuta mpira wa motoo nikaenda kumchapa nao bakora hakuamini alikaa kama mwezi hivi akanitumia sms kuuliza nimenunua shi ngapi ha ha ha ha respect is earned


Hhhaa Mimi mpaka Leo dingi yukogoi hivi. Tena mm alikua ananidharau kisa - ke- si unajua wasukuma . na nikafanya mistake kung'an'gana kuolewa😀😀..amenichapia nazo Sana hela zake Bas sitakagi kbs kujihusisha na Mali zake. Akinishirikisha sawa
 
Back
Top Bottom